Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Jeshi la polisi halipo serious na maisha ya watanzania. Baadhi ya maofisa wake wa jeshi la polisi wametajwa kwa majina nyakati tofauti wakituhumiwa kuteka, kutesa na kuua. Lakini Uongozi wa juu wa jeshi la polisi wameshindwa kuchukuwa hatu japo za kuwasimamisha ili kupisha uchunguzi.

Ila mama ni mwoga sana. Huwa anapandisha sukari anapokuwa karibu na vyombo vya ulinzi na usalama.
Mwanzo ilikuwa wakati akiongea na maafisa wa jeshi na juzi akiongea na viongizi wa jeshi la polisi.
Acha porojo zako hapa.naona wahalifu mnaanza kutetemeka
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.

Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo Hayo

View attachment 3101186

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Labda ameshauriwa ajiuzulu kabla ya kutumbuliwa.
 
Mkuu vijana wa umri wako wanamiliki nyumba nzuri ,biashara ,magari mazuri na familia.

Uchawa haulipi bwana mdogo sana. Badili mindset uliyo nayo.

Kama una taaluma fanya vitu chanya vitakavyokufanya ufikie malengo.

Kuja kujitoa fahamu humu utachelewa sana. Uchawa si maisha.

Mengi unayopost humu ni kielelezo cha mtu mwenye elimu lakini hajaelimika.

Bado hujitambui na hujui Lucas anataka nini ktk maisha.

Karibu kwa povu na mipasho.
NB: BTW NANI ANAJALI!
Jikatalie wewe na ujinga wako.
 
Mkuu vijana wa umri wako wanamiliki nyumba nzuri ,biashara ,magari mazuri na familia.

Uchawa haulipi bwana mdogo sana. Badili mindset uliyo nayo.

Kama una taaluma fanya vitu chanya vitakavyokufanya ufikie malengo.

Kuja kujitoa fahamu humu utachelewa sana. Uchawa si maisha.

Mengi unayopost humu ni kielelezo cha mtu mwenye elimu lakini hajaelimika.

Bado hujitambui na hujui Lucas anataka nini ktk maisha.

Karibu kwa povu na mipasho.
NB: BTW NANI ANAJALI!
Kupanga ni kuchagua
 
Back
Top Bottom