Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kuna mkoa unaongoza kwa ushirikina kama Mbeya na Songwe?Usifikiri wote ni washirikina kama uwazvyo wewe ujinga huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mkoa unaongoza kwa ushirikina kama Mbeya na Songwe?Usifikiri wote ni washirikina kama uwazvyo wewe ujinga huo.
Acha porojo zako hapa.naona wahalifu mnaanza kutetemekaJeshi la polisi halipo serious na maisha ya watanzania. Baadhi ya maofisa wake wa jeshi la polisi wametajwa kwa majina nyakati tofauti wakituhumiwa kuteka, kutesa na kuua. Lakini Uongozi wa juu wa jeshi la polisi wameshindwa kuchukuwa hatu japo za kuwasimamisha ili kupisha uchunguzi.
Ila mama ni mwoga sana. Huwa anapandisha sukari anapokuwa karibu na vyombo vya ulinzi na usalama.
Mwanzo ilikuwa wakati akiongea na maafisa wa jeshi na juzi akiongea na viongizi wa jeshi la polisi.
Shoga kama wewe ukifa itakuwa poa sanaKama umepaniki na una hasira basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile na hakuna ambaye atasikitika😀😀😀
Utakufa weweShoga kama wewe ukifa itakuwa poa sana
Mwaka huu wameandamana mara ngapi au posho zenu zimetoka leo?
[/QUO
Walifanya Matembezi ya mshikamamo 😄
Labda ameshauriwa ajiuzulu kabla ya kutumbuliwa.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.
Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Hakuna kura haa! Amini maneno yangu
Naona unaumia sana kuona hivyo.unatamani ufumbe machoHakuna kura haa! Amini maneno yangu
Na wewe unapata nini zaidi ya kujidhalilisha tu umasikini hadi kwenye kopeUna hali mbaya sana katika afya ya akili yako dogo. Mama anaendelea kusalia madarakani mpaka 2030 utake usitake.
Chemical Ally wa iraki wakati wa sadamu husein.Raia wana imani na Polisi na wanaendelea kuliamini jeshi la Polisi katika ulinzi wao na mali zao.
Hauziki bi kidude arudi kwao kukuna nazi hatutaki wageni nchini mwetuSijajua ni lugha Gani au mbinu Gani ambayo itatumika kumuuza yule bibu 2025 kwa wananchi ili akubalike
Jikatalie wewe na ujinga wako.
Hahahaja anaitwa Ali Hassan MajidChemical Ally wa iraki wakati wa sadamu husein.
Kupanga ni kuchaguaMkuu vijana wa umri wako wanamiliki nyumba nzuri ,biashara ,magari mazuri na familia.
Uchawa haulipi bwana mdogo sana. Badili mindset uliyo nayo.
Kama una taaluma fanya vitu chanya vitakavyokufanya ufikie malengo.
Kuja kujitoa fahamu humu utachelewa sana. Uchawa si maisha.
Mengi unayopost humu ni kielelezo cha mtu mwenye elimu lakini hajaelimika.
Bado hujitambui na hujui Lucas anataka nini ktk maisha.
Karibu kwa povu na mipasho.
NB: BTW NANI ANAJALI!
Kwani sasa hivi wapo ofisi za nini?katika nchi zenye uwajibikaji, hao wote wawili wangekuwa hawako katika ofisi za umma.
Ametufikia.Sema amenifikia siyo ametufikia usiongelee nafsi za watu wengine
Maandamano yapo pale pale naona wameshaanza kupita mtaani na Mabunduki lakini maandamano yapo pale pale.Kama Mwanaume basi toa pua yako uipeleke barabarani ukione cha mtema kuni.
Ingia barabarani ili uje ufundishwe kutii sheria bila shurutiMaandamano yapo pale pale naona wameshaanza kupita mtaani na Mabunduki lakini maandamano yapo pale pale.