Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.

Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo Hayo

View attachment 3101186

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Usitutishe bhana!
 
Namba hazidanyi, umma wa Watanzania Wana nguvu kuliko vyombo vya Dola,

Muhimu, sikilizeni Wana chi wasemacho, shughulikieni watu wasiuawe, wasipotezwe Wala kutekwa.
Vyombo vya dola vinaendelea na kazi nzuri na njema ya kulinda usalama wa Raia na mali zao na ndio maana unaona amani,utulivu na usalama vikitawala na kutamalaki Nchini huku watu wakiwa na furaha ya kufanya biashara na shughuli zao saa 24.
 
Picha tuma hapahapa.

Namba gangu itakuingiza matatani. Usipaparikie usiowajuwa.
Wewe ni Binadamu tu Bi Faiza, hivi miaka ile unamkumbuka Member anaitwa Barubaru ? Alikuwa Ni Head of finance and Admnistarion Gulf Oil mbona namba alinipa na nikampigia ni mtu na heshima zake mpaka Mawaziri na Rais wa kipindi kile miaka ya 2010 alikuwa anaitwa State house? Mgongano wa Mawazo sio lazima nikuogope. Wewe ni Binadamu kama Mimi tu
 
Wewe ni Binadamu tu Bi Faiza, hivi miaka ile unamkumbuka Member anaitwa Barubaru ? Alikuwa Ni Head of finance and Admnistarion Gulf Oil mbona namba alinipa na nikampigia ni mtu na heshima zake mpaka Mawaziri na Rais wa kipindi kile miaka ya 2010 alikuwa anaitwa State house? Mgongano wa Mawazo sio lazima nikuogope. Wewe ni Binadamu kama Mimi tu
Muongo sana wewe
 
Vyombo vya dola vinaendelea na kazi nzuri na njema ya kulinda usalama wa Raia na mali zao na ndio maana unaona amani,utulivu na usalama vikitawala na kutamalaki Nchini huku watu wakiwa na furaha ya kufanya biashara na shughuli zao saa 24.
🤣🤣🤣🤣
Tatizo lako unachokiandika hukielewi na unajiandikia tu. Unakumbuka lile tukio la Tunisia mwaka 2011 ? Vyombo vya dola vilifanya nini? Acha kuwa muoga na mtumwa wa akili yako. Wewe umeumbwa na Mungu na maisha yako Mungu ndio anayejua kwanini leo hii maisha yako umeyafanya yaendeshwe na mtu ???
 
Back
Top Bottom