Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
Hapana siyo sheria, ila by law; na Dictator Samia Suluhu Hasan; the Mafia Don of CCMNenda uandamane ndio utajuwa kuwa Nchi hii inaendeshwa kwa misingi ya sheria na katiba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana siyo sheria, ila by law; na Dictator Samia Suluhu Hasan; the Mafia Don of CCMNenda uandamane ndio utajuwa kuwa Nchi hii inaendeshwa kwa misingi ya sheria na katiba.
Wewe maandamano yako ni yanaanzia na kuishia nyuma ya keyboard tu.Maandamano yapo pale pale naona wameshaanza kupita mtaani na Mabunduki lakini maandamano yapo pale pale.
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais.acha kuropoka ropoka Hovyo hovyo tu kama mlevi wa gongoHapana siyo sheria, ila by law; na Dictator Samia Suluhu Hasan; the Mafia Don of CCM
Huo mjadala au uvunjifu wa amani?Luca, Ni kubwa jinga, achana naye
Usitutishe bhana!Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.
Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Hapana Mkuu hawezi akamwambia hivyo maana uwezo na mamlaka ya kumtengua yapo ndani yake Amiri Jeshi Mkuu.Sasa mwanangu mdogo wangu naomba ujiuxulu end
Hao abiria wapole sana wangewachoma moto kabisa hao njagu. Wao kupiga na kuua raia wanaona raha lakini wakiguswa wao mayowe kibao.Tarime kimeanza,polisi kukimbia akipigwa na wananchi
Wapi nimewatisha zaidi ya kuwaambia ukweli tu.Usitutishe bhana!
Muheshimiwa, Dr, Profesa, Don, Dictator, Rais hivi vyeo vyote alikuwa navyo Idd Amin Dada peke yakeUwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais.acha kuropoka ropoka Hovyo hovyo tu kama mlevi wa gongo
Picha tuma hapahapa.Nipe namba yako ya whatsapp niisevu kabisa
Bi Faiza mapema tu, jumatatu na hapa kata yetu naandikisha watu na mabasi ya kutosha yapoWewe l
Wewe maandamano yako ni yanaanzia na kuishia nyuma ya keyboard tu.
Ingia mitaani ututumie picha.
Ndivyo mnavyofundishana huko chadema?Hapana siyo sheria, ila by law; na Dictator Samia Suluhu Hasan; the Mafia Don of CCM
Vyombo vya dola vinaendelea na kazi nzuri na njema ya kulinda usalama wa Raia na mali zao na ndio maana unaona amani,utulivu na usalama vikitawala na kutamalaki Nchini huku watu wakiwa na furaha ya kufanya biashara na shughuli zao saa 24.Namba hazidanyi, umma wa Watanzania Wana nguvu kuliko vyombo vya Dola,
Muhimu, sikilizeni Wana chi wasemacho, shughulikieni watu wasiuawe, wasipotezwe Wala kutekwa.
Wewe ni Binadamu tu Bi Faiza, hivi miaka ile unamkumbuka Member anaitwa Barubaru ? Alikuwa Ni Head of finance and Admnistarion Gulf Oil mbona namba alinipa na nikampigia ni mtu na heshima zake mpaka Mawaziri na Rais wa kipindi kile miaka ya 2010 alikuwa anaitwa State house? Mgongano wa Mawazo sio lazima nikuogope. Wewe ni Binadamu kama Mimi tuPicha tuma hapahapa.
Namba gangu itakuingiza matatani. Usipaparikie usiowajuwa.
We
Muongo sana weweWewe ni Binadamu tu Bi Faiza, hivi miaka ile unamkumbuka Member anaitwa Barubaru ? Alikuwa Ni Head of finance and Admnistarion Gulf Oil mbona namba alinipa na nikampigia ni mtu na heshima zake mpaka Mawaziri na Rais wa kipindi kile miaka ya 2010 alikuwa anaitwa State house? Mgongano wa Mawazo sio lazima nikuogope. Wewe ni Binadamu kama Mimi tu
🤣🤣🤣🤣Vyombo vya dola vinaendelea na kazi nzuri na njema ya kulinda usalama wa Raia na mali zao na ndio maana unaona amani,utulivu na usalama vikitawala na kutamalaki Nchini huku watu wakiwa na furaha ya kufanya biashara na shughuli zao saa 24.