Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #161
Uwe na heshima mdogo wangu.Luca, Ni kubwa jinga, achana naye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe na heshima mdogo wangu.Luca, Ni kubwa jinga, achana naye
Wachunguzi hawachunguzi tu nani kauwa. Muhimu zaidi ni kwanini (motive) kauwa.Tusipoona waliomuua Kibao wanakamatwa hicho kikao hakina maana,tusipoona mafwele anapandishwa kizimbani kwa tuhuma za kutaka kumuua sativa kikao hakina maana,tusipoona waliotekwa na mafwele wanapelekwa mahakamni hicho kikao hakina maana.
🤣🤣🤣🤣Wewe ndio huna mvuto na kubakia unatapatapa tu.
Nipo road kama kawa Mdogo wanguIngia barabarani ili uje ufundishwe kutii sheria bila shuruti
Asante kwa mawazo yako .hiyo ndio democrasia ambayo Mama yetu Mpendwa Mama Samia ameileta katika Taifa letu.Mkuu vijana wa umri wako wanamiliki nyumba nzuri ,biashara ,magari mazuri na familia.
Uchawa haulipi bwana mdogo sana. Badili mindset uliyo nayo.
Kama una taaluma fanya vitu chanya vitakavyokufanya ufikie malengo.
Kuja kujitoa fahamu humu utachelewa sana. Uchawa si maisha.
Mengi unayopost humu ni kielelezo cha mtu mwenye elimu lakini hajaelimika.
Bado hujitambui na hujui Lucas anataka nini ktk maisha.
Karibu kwa povu na mipasho.
NB: BTW NANI ANAJALI!
🤣🤣🤣🤣
Kusema kweli Mama yako kapoteza mvuto aisee, kumbe wakati anaingia alikuwa anaongea maneno tupu sasa hivi kabadirika kabisa. Sijawahi kusikia wala kusoma sehemu.......
Eti anaifungua dunia yaani ni uongo uongo tu. Kajichanganya sana aisee
Uwe na heshima mdogo wangu.
Labda road ya kuelekea chumbani kwako.Nipo road kama kawa Mdogo wangu
Embu rudia tena kusoma ulichoandikaHuwa hukubaliki,unalazimishwa mtu kupendwa. Peleka ujumbe huu
Thread 'Barua ya wazi kwa Rais Samia: lose lips sink ships' Barua ya wazi kwa Rais Samia: lose lips sink shipsLabda road ya kuelekea chumbani kwako.
Abdul unamfahamu?Labda road ya kuelekea chumbani kwako.
Hauziki bi kidude arudi kwao kukuna nazi hatutaki wageni nchini mwetu
Wewe maandamano yako ni yanaanzia na kuishia nyuma ya keyboard tu.Maandamano yapo pale pale naona wameshaanza kupita mtaani na Mabunduki lakini maandamano yapo pale pale.
Tarime kimeanza,polisi kukimbia akipigwa na wananchiWewe l
Wewe maandamano yako ni yanaanzia na kuishia nyuma ya keyboard tu.
Ingia mitaani ututumie picha.
Mimi napenda maandamano ile mbaya mwaka 2010 Zanzibar tulikesha Bwawani Hotel, Maalim Seif (rip) kamkazia Dr Shein na watu tulikuwa nje tayari kwa lolote lile. Busara na diplomasia za Mzee Mkapa (rip) ndio zilimfanya Maalim Seif kuwa muungwana ndio akaja kutuambia. Wapemba wote tutaingia Ikulu. Maandamano kama kawaida Bi FaizaWewe l
Wewe maandamano yako ni yanaanzia na kuishia nyuma ya keyboard tu.
Ingia mitaani ututumie picha.
Nipe namba yako ya whatsapp niisevu kabisaWewe l
Wewe maandamano yako ni yanaanzia na kuishia nyuma ya keyboard tu.
Ingia mitaani ututumie picha.
MZUKA RUHANI WA PARAMILITARY WALIOUNDA UMEWAPA MTIHANIMheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.