Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #121
katika nchi zenye uwajibikaji, hao wote wawili wangekuwa hawako katika ofisi za umma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
katika nchi zenye uwajibikaji, hao wote wawili wangekuwa hawako katika ofisi za umma.
Tii sheria bila shuruti.acha kushupaza shingo.Comment hii ,inatoa taswira ya mentality ya hovyo ya kiumbe kilichohusika kuiandika.... kusema iliyohaki hata kama Mh Rais anahangaika juu wa ustawi wa nchi,ila kufanya hayo kwa watu wenye akili kama mfanano huu ni buree kabisa!!!Kweli Shetani yupo kazini!!!
Kwanini waalikwe leo na wakati maandamano bado siku 2?Kwani kuna kifungu cha Sheria kinazuia Polisi kualikwa Ikulu? 🐼
Haina haja ya familia mimi binafsi kama kawaida nitaingia barabarani jumatatu saa 2 asubuhi nikielekea ofisini kwangu kulokota mapene😀Basi kama unajiamini nakuomba sana Jumatatu wewe na familia yako na mkeo na wanao muingie barabarani ili mkakione cha mtema kuni.
Wewe unaamini Chadema Wana ubavu wa kuandamana?!Kwanini waalikwe leo na wakati maandamano bado siku 2?
Ulitaka uitwe wewe na moshi wako.Kama hawana mbona polisi wote wameitwa Ikulu?
Mwaka huu wameandamana mara ngapi au posho zenu zimetoka leo?Wewe unaamini Chadema Wana ubavu wa kuandamana?!
Kenge katika ubora wao, vilaza wamekutana, huyu IGP, anaelimu ya kuunga unga, alikuwepo Said Mwema, Professional law enforcement officer kutoka Interpol, sio huyu kilaza na mafunzo ya kuunga ungaNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.
Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Peleka ujinga wako huko usinichokozeUlitaka uitwe wewe na moshi wako.
Wengi wanapata hizi nafasi za juu za ushirikina na rushwa pekeeKenge katika ubora wao, vilaza wamekutana, huyu IGP, anaelimu ya kuunga unga, alikuwepo Said Mwema, Professional law enforcement officer kutoka Interpol, sio huyu kilaza na mafunzo ya kuunga unga
Wewe niamini mimi tu ndugu yangu mtanzania na endelea kunifuatilia mimi tu .kwa hakika utafurahi Mwenyewe na kububujikwa machozi ya furaha.Umejuaje kama mazungumzo ni mazito au mepesi?? Ach chai tu chawa bin kunguni Lucas Mwashambwa
Usifikiri wote ni washirikina kama uwazvyo wewe ujinga huo.Wengi wanapata hizi nafasi za juu za ushirikina na rushwa pekee
Kama una jiamini basi ingia barabaraniMaandamano yapo pale pale hata iweje if we must die let it not be like hogs
Siwezi kuamini watu wasioguswa na upotevu na utekaji ama mauaji ya ndugu zao eti kifo ni kifo tu next andikieni hotubu isiyotia aibuWewe niamini mimi tu ndugu yangu mtanzania na endelea kunifuatilia mimi tu .kwa hakika utafurahi Mwenyewe na kububujikwa machozi ya furaha.
Kwanza RAIS wetu mpendwa hana sababu ya kufanya kampeini hapo mwakani maana kazi zake ni kampeni tosha.Sijajua ni lugha Gani au mbinu Gani ambayo itatumika kumuuza yule bibu 2025 kwa wananchi ili akubalike
Kazi wanayo iweza vizuri ni kuteka na kuuwa watanganyika. Wataingia kwenye record kama wauwaji wakubwa.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.
Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania