Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Ikulu: Rais Samia afanya mazungumzo na Mkuu Wa Jeshi la Polisi Nchini, Camillius Wambura

Comment hii ,inatoa taswira ya mentality ya hovyo ya kiumbe kilichohusika kuiandika.... kusema iliyohaki hata kama Mh Rais anahangaika juu wa ustawi wa nchi,ila kufanya hayo kwa watu wenye akili kama mfanano huu ni buree kabisa!!!Kweli Shetani yupo kazini!!!
Tii sheria bila shuruti.acha kushupaza shingo.
 
Jeshi la polisi halipo serious na maisha ya watanzania. Baadhi ya maofisa wake wa jeshi la polisi wametajwa kwa majina nyakati tofauti wakituhumiwa kuteka, kutesa na kuua. Lakini Uongozi wa juu wa jeshi la polisi wameshindwa kuchukuwa hatu japo za kuwasimamisha ili kupisha uchunguzi.

Ila mama ni mwoga sana. Huwa anapandisha sukari anapokuwa karibu na vyombo vya ulinzi na usalama.
Mwanzo ilikuwa wakati akiongea na maafisa wa jeshi na juzi akiongea na viongizi wa jeshi la polisi.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.

Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo Hayo

View attachment 3101186

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Kenge katika ubora wao, vilaza wamekutana, huyu IGP, anaelimu ya kuunga unga, alikuwepo Said Mwema, Professional law enforcement officer kutoka Interpol, sio huyu kilaza na mafunzo ya kuunga unga
 
Sijajua ni lugha Gani au mbinu Gani ambayo itatumika kumuuza yule bibu 2025 kwa wananchi ili akubalike
 
Wewe niamini mimi tu ndugu yangu mtanzania na endelea kunifuatilia mimi tu .kwa hakika utafurahi Mwenyewe na kububujikwa machozi ya furaha.
Siwezi kuamini watu wasioguswa na upotevu na utekaji ama mauaji ya ndugu zao eti kifo ni kifo tu next andikieni hotubu isiyotia aibu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,Amefanya Mazungumzo Mazito Sana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillius Wambura Ikulu ya Dar es salaam.

Hii ni baada ya kupita siku chache alipotoa hotuba nzito sana katika kilele cha maadhimisho ya miaka
60 ya Jeshi la Polisi na mkutano mkuu wa Maafisa waandamizi wa Jeshi la Polisi . iliyoitikisa ,kuitetemesha na kuiteka Dunia nzima hadi Washington DC Marekani na kujadiliwa kila kona pamoja na kuungwa mkono na kupongezwa na watu mbalimbali Duniani Kwote.

Hii picha ni baada ya kumaliza Mazungumzo Hayo

View attachment 3101186

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

Soma Pia: Rais Samia amefunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania
Kazi wanayo iweza vizuri ni kuteka na kuuwa watanganyika. Wataingia kwenye record kama wauwaji wakubwa.
 
Back
Top Bottom