Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kwani nyinyi ndio mtaishi milele? Jiwe na kiburi chake leo yuko wapi?Sikutishi ila nakwambia ukweli kuwa kama unataka kukiona cha mtema kuni basi peleka Pua yako barabarani
Basi sawa πππKaa kwa kutulia wala usiwe na presha.
Narudia kusema tena kuwa kama Mwanaume basi ingia barabarani.Wanaume huwa hawatoi pua.... Acha ujuaji usiokusaidia.
Wala usiandike sana bali kama unajiamini sana basi Jumatatu ingia barabarani wewe na familia yako.Kwani nyinyi ndio mtaishi milele? Jiwe na kiburi chake yuko wapi?
Kama mnafikiri vipigo vya polisi ndio vitarudisha watu nyuma, mjifunze kwa Mdude na SATIVA na wengineo wanaoendelea kupambana licha ya kupigwa sana na Polisi.
Kama vipigo vya cPolisi ndio dawa, msome SATIVA katika mtandao wa X , msome Boniface, msome Godbless Lema, msome Mbowe, msome Mdude, Msome Martin Maranjav Masese, na wengineo wengi.
Madaraka bila maarifa ni anguko kuu.
Wewe nani kwani... Hapo ndipo unadhibitisha nyie ndiyo watekaji.Narudia kusema tena kuwa kama Mwanaume basi ingia barabarani.
Wewe kichwa chako kilishacheza nakubakia akili robo.Bila shaka walikuwa wanakubaliana Kimkakati nani sasa afuatie baada ya Marehemu Mzee Kibao.
Hayo mambo ya familia yanatokea wapi. Kati ya hao wawili nani mtoto wake atakuwepo Jumatatu kati ya hao watakaokuwa wanazuia waandamanaji?Wala usiandike sana bali kama unajiamini sana basi Jumatatu ingia barabarani wewe na familia yako.
Ingia barabarani ndio utakuwa unauliza maswali yako na kupewa majibu huko huko.Wewe nani kwani... Hapo ndipo unadhibitisha nyie ndiyo watekaji.
Hongera sana Lucas Mwamshamba
Acha makelele yako.wewe kama mwanaume basi ingia barabaraniHayo mambo ya familia yanatokea wapi. Kati ya hao wawili nani mtoto wake atakuwepo Jumatatu kati ya hao watakaokuwa wanazuia waandamanaji?
Washamba ndiyo wanapenda kujimwambafai.Ingia barabarani ndio utakuwa unauliza maswali yako na kupewa majibu huko huko.
Wewe kichwa chako kilishacheza nakubakia akili robo.
Usitishe watu.Acha makelele yako.wewe kama mwanaume basi ingia barabarani
Basi wewe mwerevu ingia barabarani.kuropoka kwenu siyo werevu.Washamba ndiyo wanapenda kujimwambafai.
Unataka niniUlikuwepo au ulisikia ? Umejuaje uzito wa wepesi wa Mazungumzo....
πππMazungumzo mazito ulikuwepo wewe Pepo ?
Bado hamjasemaWala usiandike sana bali kama unajiamini sana basi Jumatatu ingia barabarani wewe na familia yako.