Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #241
Nenda ukawaambie hivyo na siyo hapa ambapo umejigicha kwenye Fake IDMpaka waliita wenye magwanda sema Bi Faiza hawa Polisi ni Shwaini sana basi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda ukawaambie hivyo na siyo hapa ambapo umejigicha kwenye Fake IDMpaka waliita wenye magwanda sema Bi Faiza hawa Polisi ni Shwaini sana basi tu
Huoni nina tiki hapo kwenye I'd ?Nenda ukawaambie hivyo na siyo hapa ambapo umejigicha kwenye Fake ID
Tiki ndio jina lako hilo?Huoni nina tiki hapo kwenye I'd ?
Huwa wananisoma sana 🤣🤣🤣🤣
Kumbe ulikuwepo mbona wanasema Bonyai alifika kituoni akiwa hana sharti kwa kipigo? Sasa kama yeye ndio aliwapiga ilikuaje awe hana sharti yaani lichanike? Acha uongo kawadanganye watoto wako nyumbani kwako!Sema hao Polisi walipigika kinoma
We lazma ni demi huwezi kushoboka namna hii, we sii mwandishi wa Ikulu uchawa wa niniUwe na adabu dogo.
Unaumia ukiwa wapi huko kusiko na vidonge vya kupunguza maumivu.Au kunywa sumu UFE tu kama una hasira.We lazma ni demi huwezi kushoboka namna hii, we sii mwandishi wa Ikulu uchawa wa nini
Nchi gani inayomwajibisha rais potential kama huyu. Labda ungesema jpn enzi zilen za gizakatika nchi zenye uwajibikaji, hao wote wawili wangekuwa hawako katika ofisi za umma.
Watanzania wote kwa kauli moja wanasema ya Kuwa Rais Samia ni Tumaini lao na wanaendelea kumuunga mkono kwa kila hatua mpaka 2030.Nchi gani inayomwajibisha rais potential kama huyu. Labda ungesema jpn enzi zilen za giza
Unanichukuliaje Mwanangu ???Tiki ndio jina lako hilo?
Walikuwa wanamvuta vuta shati sio Kinyonge babu. Jamaa aliwahenyesha sanaKumbe ulikuwepo mbona wanasema Bonyai alifika kituoni akiwa hana sharti kwa kipigo? Sasa kama yeye ndio aliwapiga ilikuaje awe hana sharti yaani lichanike? Acha uongo kawadanganye watoto wako nyumbani kwako!
Mchawi mkubwa wewe mungu wako ni ibilisiNitaishi kwa kadri ya mipango na mapenzi ya Mwenyezi Mungu.
Tukuamini wewe au wanasheria wa CDM na TLS waliosema amepata kipigo?Walikuwa wanamvuta vuta shati sio Kinyonge babu. Jamaa aliwahenyesha sana
Kama amezungukwa na watu wenye akili kama za huyu mleta mada atajulia wapi?!Mama anajua mwisho wa kukaa ikulu umefika
Ndugu hawa Polisi ni Wase*** sana tena Mimi nawamaindi sana we ngoja tu. Nitakuja kufanya tukio la kitaifa na uwe unalili ripoti humu 🤣🤣🤣
Akili toka makalioni rudi kichwaniTusipoona waliomuua Kibao wanakamatwa hicho kikao hakina maana,tusipoona mafwele anapandishwa kizimbani kwa tuhuma za kutaka kumuua sativa kikao hakina maana,tusipoona waliotekwa na mafwele wanapelekwa mahakamni hicho kikao hakina maana.
Ulivyohivyo kweli unaweza fanya tukio la maana kweli?? labda la kivuta bhangi!!Ndugu hawa Polisi ni Wase*** sana tena Mimi nawamaindi sana we ngoja tu. Nitakuja kufanya tukio la kitaifa na uwe unalili ripoti humu 🤣🤣🤣
Nakuchukulia Bon Yai.Unanichukuliaje Mwanangu ???
Hunaga akili kabisa.Kama amezungukwa na watu wenye akili kama za huyu mleta mada atajulia wapi?!
Alikimbilia hadi uvunguni mwa gari kujificha akifikiria ni kichaka haonekaniTukuamini wewe au wanasheria wa CDM na TLS waliosema amepata kipigo?
Mimi ni Kada mtiifu wa CCM kijana sema sipendi maunafiki tu 🤣🤣🤣Nakuchukulia Bon Yai.