Huo wa majenereta ndio unawaumiza nigeria mpaka sasaAwamu ya 4 (kikwete) ilituaminisha kuwa umeme wa Gas ndio rahisi na utashusha bei ya umeme na bidhaa kwa ujumla! matokeo yake umekuwa na umeme uliotumia mabilioni ya shilingi na tulichoaminishwa hakuna.
Awamu hii ya 5 inatuaminisha kuwa umeme huu wa maji utakuwa ndio rahisi zaidi na utashusha bei ya bidhaa na tutatembea kifua mbele.
Awamu ya 6 huenda tukaja kuambiwa umeme wa majenereta ndio mzuri, wenye unafuu kuliko hiyo mingine!
Hydro ni cheap Sawa maana si unatumia maji kwenda kusukuma yale mamitambo mafuta hutumi kwa kiasi kikubwa sana mafuta inatumia ku lubricant mamashine...
Sema mradi utachukua miaka si chini ya 10 au zaidi kuisha....si umeona wa Ethiopia mpk leo wanajenga
Changamoto tu uaribu wa Mazingira,mambo ya global warming......
Ila waombee sana mvua zinyeshe mvua ikijanyesha syo kwa wingi italeta mushkeli
Hapo chacha....
Ova
Tudei mwana, tunyamnyoosha mtu Imarati. Nketiah ndaniChama langu arsenal tunakipiga lini vile?
Ova
Lzma tumnyooshe mtuTudei mwana, tunyamnyoosha mtu Imarati. Nketiah ndani
Kinachosababisha ujenzi kuchelewa ni mambo mengi lakini vitu vikubwa ni accessibility ya eneo pamoja na fund. Shida ya Ethiopia hasa linakojegwa Bwawa la Grand Rennaissance ni milima mingi sana. Kama unaifahamu Wilaya ya Makete, mkoani Njombe basi hapo ni cha mtoto. Ethiopia ndiyo Nchi yenye milima mingi kuliko zote barani Afrika na ukiweka na umasikini wa miundombinu yake, imesababisha ujenzi nao kwenda kwa kusuasua.Mimi kinachonisumbu ni uwongo, hili bwawa ni kubwa kuliko lile la ethiopia, ambalo limeamza kujengwa 2014 na mpaka leo ni 60% done na litachukua miaka minane kulijaza, leo naambiwa bwawa kubwa zaidi litajengwa kwa miezi 36 na kujaa miezi sita huu uwongo utaisha lini?
Hata 45% hatuna wamechukua tanesco ya misri inaitwa el sewedy ingia kwenye website yaoWhat?
Kulipia gharama za mradi unaoleta tija mimi sioni hasara.Ujiandae kukatwa kwenye luku hadi hiyo hela ya watu irudi.
Usiniulize kwa nini.
Naomba kuishia hapo.
Mradi huu set up yake haipishani na dowans, symbion na wengine waliotupiga balaa, yaaani kwanza batuwezi jua unatugharimu kiasi gani, pili ule ujanja wa capacity charges ndiyo utawatajirisha watu hapa nchini , ndiyo maana nawaona wataalamu wa mambo haya rostam, na lowassa wamekuwa wapenzi wa muda huu, tumeliwa na sasa tunapigwa openlyKijana unajua maana ya stake?
Unajua vigezo vya kushinda zabuni?
Eti mradi umeuzwa, unatia huruma ujue!
Jaribu kuuliza maana ya stake ukishajua maana ya hilo neno utaelewa content nzima.
Kwenye umeme wa ''Gas'' Mikataba yake ni mibovu ''Maradhara ya mikataba ya siri'' Cost of electricity by source - WikipediaMradi wa umeme wa Stieglers Gorge utaipaisha Tanzania ya viwanda kwa kiwango ambacho si rahisi kuona hivi sasa.
Lakini ni kwa kiwango kikubwa.
Mradi ukikamilika Tanzaniabutakuwa imeongeza 2100MW katika gridi ya Taifa.
Hapa na mimi nitatembea kifua mbele, kama atuhimizavyo mh. Magufuli.
Sasa miradi kama ya kuchenjua madini itawezekana kutekelezwa nchini.
Mfano tu, Akosombo Dam huko Ghana ina installed capacity ya 1038MW(NUSU ya stiegler), lakini Ghana ilifanikiwa kuwa na moja ya smelter kubwa Afrika ya kuchenjua Aluminium.
Hapa nasema, Mh John Pombe Magufuli kalamba dume.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja CHADEMA waamke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]gas mtwara tuliaminishwa hivyo hivyo.
mpaka nione ndo ntaamini serikali ya ccm siiamini kabisaa.
haujajibu nimekuuliza unajua maana ya stake? kama hujui sema nikuelimishe maana naona umeanza kupotosha watu.Mradi huu set up yake haipishani na dowans, symbion na wengine waliotupiga balaa, yaaani kwanza batuwezi jua unatugharimu kiasi gani, pili ule ujanja wa capacity charges ndiyo utawatajirisha watu hapa nchini , ndiyo maana nawaona wataalamu wa mambo haya rostam, na lowassa wamekuwa wapenzi wa muda huu, tumeliwa na sasa tunapigwa openly
Niondolee upuuzi wako, you know nothinghaujajibu nimekuuliza unajua maana ya stake? kama hujui sema nikuelimishe maana naona umeanza kupotosha watu.
Kwa kukusaidia tu, unajua kwanini hadi leo kuna wakandarasi wanaidai serikali?
Unajua PSPF walistake kiasi gani kwenye ujenzi wa Nyerere bridge?
Je mmliki na mwendeshaji wa Nyerere bridge ni nani?
Haya maswali yatakusaidia kujua maana ya stake.