Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
jamaa ananitishia eti amesoma Misri halafu anataka kunidanganya live mambo ninayoyajua.
Mkuu dunia ya leo ignorance is a choice. hii information yote ipo mitandaoni....read..kwenye simu za watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa ananitishia eti amesoma Misri halafu anataka kunidanganya live mambo ninayoyajua.
Wewe ndye hujui maana ya stake. Huu mradi tulitakiwa tuwe na 100% stake. Sasa Egypt kuchukua 55% maana yake who is the majority owner? Hapa Egypt ndye anafanya maamuzi yote. Yan hapa ni sawa na kuuza. Yan umeiza asilimia 55 za mradi wako wewe umebakiza 45. Na miradi ming ya tz huanza hiz. Mwisho wa siku serkal unakuta imebakiza hata 20%.Kijana unajua maana ya stake?
Unajua vigezo vya kushinda zabuni?
Eti mradi umeuzwa, unatia huruma ujue!
Jaribu kuuliza maana ya stake ukishajua maana ya hilo neno utaelewa content nzima.
Ila tukiacha unafiki wa kisiasaTunategemea Na Mbunge mmoja aliepo matibabuni Ughaibuni nae atajiunga Na Jeshi la Wazalendo chini ya Jemedari Daktari Mahiri
Umesema kweli, ni akili za kutegemea wengine, yaani za mbayuwayu.Usione wapo kimya wanamsubiri Zitto awaletee matango pori
Mkuu, ndo ukweli wenyewe mradi utashusha sana gharama za umeme.Awamu ya 4 (kikwete) ilituaminisha kuwa umeme wa Gas ndio rahisi na utashusha bei ya umeme na bidhaa kwa ujumla! matokeo yake umekuwa na umeme uliotumia mabilioni ya shilingi na tulichoaminishwa hakuna.
Awamu hii ya 5 inatuaminisha kuwa umeme huu wa maji utakuwa ndio rahisi zaidi na utashusha bei ya bidhaa na tutatembea kifua mbele.
Awamu ya 6 huenda tukaja kuambiwa umeme wa majenereta ndio mzuri, wenye unafuu kuliko hiyo mingine!
All the best Mr President
goodAll the best Mr President