IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

IKULU: Utiaji saini mkataba wa ujenzi wa Stiegler's Gorge

Mkuu mimi nakuheshimu sana. Lakini naomba at times uwe objective.

Kuna sehemu serikali inafanya madudu na ni haki yetu kuikosoa kama tunavyofanya humu kila siku. Lakini hebu tuwe wakweli kidogo, tunaweza kupinga juhudi za kuwa na umeme wa uhakika kusukuma gurudumu la maendeleo yetu mbele?

Yes, najua kuna nadharia nyingi hapa (mradi huu ni mkubwa, pesa hatuna, tungewekeza kwenye umeme wa maji, umeme wa gesi, upepo na mengine mengi!). Lakini Ukweli ni kwamba tunahitaji umeme. Sijaona juhudi za watangulizi wa jiwe kutupa umeme wa uhakika kwa zaidi ya miaka 50 ya uhuru. Kila kitu ni ujanja ujanja tuu....(refer akina net group, akina Rugemarila nk). Kama huu ndo mradi utatupa umeme, tumsupport JPM!

Tusiwe watu wa kupinga kila kitu..Tunapoteza maana ya neno lenyewe na mwisho wa siku..hata mtu ukipinga kitu cha maana unaonekana ni yule yule.

Umeme ni muhimu kwa maendeleo ya taifa!
Unajisumbua kuwa elimisha chadrama mcharuko mizee ya matukio
Achana nayo, tupa kuleeee
 
Lakini kweli wamisri wanatechnolojia ya kujenga Mabwawa au tunaenda kupiga hasara hapa?
 
Kwa mara ya kwanza, nimemwona Wachungaji Gwajima, Mwingira na Mzee wa Upako wakiwepo eneo moja. Maombi yao ni faraja kwa Watanzania wapenda Nchi yao na wapenda maendeleo. Mungu atubariki sana Watanzania.
 
Hii miradi bila kujipanga matokeo yake ndio haya sasa tunakamuliwa kodi kwenywe kila kitu.

Miradi mpaka ikamilike, wabongo mtakuwa hohehahe huku uchumi ukiwa taabani(mtakuwa kama waethiopia)

Msisahau zoezi la kujenga mji wa kiserikali Dodoma nalo linaendelea.

Serikali imejitwika mzigo isio na uwezo nao japo baadhi ya hiyo miradi michache ni muhimu ila utekelezaji wake na gharama zake ni lazima tutuumie tena sio kidogo na hata uchumi unaweza kuyumb maana baadhi ya miradi inapeleka fedha nyingi nje ya nchi..

Hauwezi kujenga nchi kwa kuongeza expenditure,kukopa kwa kiasi kikubwa na wakati huo huo mapato ya nchi yanaporomoka.

Chagueni miradi michache na muitekeleze kwa awamu kulingana na uchumi wetu na kwa kuzingatia pato halisi la Taifa letu.

Ni swala la muda tu itawabidi mbuni kodi za ajabu ajabu ili kujaribu kujikwamua.


Kwa sasa wengine hatutaeleweka kama ilivyo kawaida ila muda ndio kila kitu.
Binafsi mm nimekuelewa mkuu
 
Kila la kheri
Tunajitaji umeme angalau tutalala ndani ys nyimba zetu joto litapungua
 
Ninawasisi sana kama wamisri wanauwezo Wa kiutaalam Wa kujenga mabwawa. Mradi kama huu wangepewa wenyeuwezo kama Muisrael. Lakini wa wamisri wanaweza fanya Mradi uwe na life span ya miaka 10 ikaitaji ukarabati mkubwa.
 
Kwa hili nalo Rais Magufuli ,anaweka historia katika nchi hii

Mungu Mbariki Rais Magufuli

Mungu ibariki Tanzania
 
kama mzalendo peleka hoja sehemu husika kabla ya muda kuisha na watu kuanza kazi au mwajika hapa si kifichoficho kama ulivyosema
 
Ninawasisi sana kama wamisri wanauwezo Wa kiutaalam Wa kujenga mabwawa. Mradi kama huu wangepewa wenyeuwezo kama Muisrael. Lakini wa wamisri wanaweza fanya Mradi uwe na life span ya miaka 10 ikaitaji ukarabati mkubwa.
Technology ya kujenga vitu kama hivyo Misri, nchi masikini kama sisis waliipata wapi?
 
Tanzania ni Nchi nzuri sana. Hili ni Bonde la Mto Rufiji.

IMG_0384.JPG
 
Ninawasisi sana kama wamisri wanauwezo Wa kiutaalam Wa kujenga mabwawa. Mradi kama huu wangepewa wenyeuwezo kama Muisrael. Lakini wa wamisri wanaweza fanya Mradi uwe na life span ya miaka 10 ikaitaji ukarabati mkubwa.

Acha kudhani, ujue kuna jopo la wataalamu walikaa na kupitia uafanisi wa hii kampuni katika kujenga mabwawa ndio maana wamewapa kazi, tafuta mkandarasi aliyopewa hii tender, fanya research ya miradi aliyofanya kisha upate wasiwasi...ila siyo kwa kufikiri kwako tuu
 
uchumi tutaujenga wenyewe ukitaka ujengewe uchumi na nchi nyingine sahau. maendeleo ndio maana Mheshimiwa Magufuli aongoze miaka 20 ili tupae kiuchumi.
Ikifika miaka hiyo utakuwa umeshakimbia nchi
 
Kama hujasomea Engineering huwezi kuelewa kitu
Uhandisi ni vifaa na uzoefu baada ya elimu husika,hata mkinga anafanya tu
Wamisri wapo mbali sana kuhusiana na mabwawa
Ivi Bongo hakuna maingineer?
 
Back
Top Bottom