Kabisa kabisa !
 
JPM kaanza kuishi kwenye hiyo ikulu hata kabla haijaisha (bado ni mapagare tu), tena alikua anakaa hata miezi kabisa kuonyesha ni kiasi gani alikuwa determined kuhakikisha alichokianzisha kinaisha, wakawa wanamcheka leo kimekamilika hahao tena wanakiona kilikuwa na maana.
 
You nailed it !
 
Clip imetengenezwa kipindi Mama yuko madarakani, ina vinasaba vingi vya ushawishi kutoka kwa mama.
Ni clip ambayo haina mpangilio. Bwana tambaza, mama nyerere, yule katibu mkuu kiongozi. Hata mwinyi, hajaongea vizuri. Ni clip iliyolenga tu ionekane kwamba kuna documentary ina watu hawa. Ila lengo lifike kwa mama mwenye nchi na isifie. Very bad clip ile. Naumia sababu itabaki kwenye rekodi na ikiwa na lengo la kumsifia mtu mmoja tu. Wameikata kata sana.
 
Mwalimu Nyerere,ndio mwanzilishi,na alishiriki mpaka kuchimba mitaro,kupeleka maji hapo,Chamwino,alikaa kwenye kambi hapo,karibia miezi mitatu,na hakuwa na ulinzi mkubwa .
Baada ya Mwl Nyerere nini kikaendelea kwa maraisi wengine?

Ofisi za serikali kuhamia Dodoma ilikuwa ni vision ya NYERERE, hakuna anae kataa. Ila utekelezaji wa hiyo vision umekuja kufanyika awamu ya tano.
 
Inferiority complex !!
 
Baada ya Mwl Nyerere nini kikaendelea kwa maraisi wengine?

Ofisi za serikali kuhamia Dodoma ilikuwa ni vision ya NYERERE, hakuna anae kataa. Ila utekelezaji wa hiyo vision umekuja kufanyika awamu ya tano.
Tamisemi na ofc ya PM zilishakuwepo Dom kabla ya Ngosha wenu.
Na ht wizara zilizohamia Dom wakati wa Magufuli walipewa ofc UDOM iliyojengwa enzi za JK.
So uhamiaji Dodoma haukuanza kwa Ngosha wenu
 
Hata magufuli enzi za uhai wake alipokuwa akizindua miradi mbali mbali iliyoasisiwa na watangulizi wake alikuwa akitajwa kuwa ni yeye ndiye kaijenga. Kwahiyo tuache nongwa..Tumwache Samia achape KAZI na KAZI iendelee!
 
Hakuna namna inabidi mkubali na kuvumilia maumivu. Kwa mujibu wa utamaduni wa CCM na katiba ya JMT, Rais aliyeko madarakani ndiye hupewa sifa zote kwa kazi zote za serikali. Muwe na subira huenda zamu yenu ya kusahihisha data itawadia.

Waliopita huwa hawana chao huko. Tena wanaweza kusukumiwa lawama za matatizo yote makubwa ya taifa: upigaji; ufisadi; ubaguzi; madawa ya kulevya; ushoga, inflation, you name it. Tena mtangulizi aliyedead ndio kabisa, na lake halipo! Anapuuzwa. Ndio uhalisia wa CCM huo na katiba ya JMT wanayoikumbatia sana.
 
Magufuli ni dubwana gani kama sio shetani aliyekuja kwa sura ya mtu?
Shetani hajawahi kuwepo ni upofu wenu tu na kudanganywa na hao waliowaletea utapeli wa Yesu na Muhammad.

Mchukie MAGUFULI, lakini usitafute uhalali wa kufanya hivyo kwa kutaja jina la Yesu au Muhammad, hatuyaogopi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…