Uchaguzi 2020 Ikungi: Magufuli amuahidi Lissu kazi, amuambia aachane na Urais ambao hatashinda

Uchaguzi 2020 Ikungi: Magufuli amuahidi Lissu kazi, amuambia aachane na Urais ambao hatashinda

Wakati Magufuli alipokuwa anamzungumzia mgombea mwingine na kumhaidi rushwa ya kazi, TBC walitakiwa wakate matangazo kwa muda.
 
Lisu "UWAZIRI HUO"..
Ni mtoto wetu huyo
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Atapew
Wakati Magufuli alipokuwa anamzungumzia mgombea mwingine na kumhaidi rushwa ya kazi, TBC walitakiwa wakate matangazo kwa muda.
Hii itakuwa rushwa ya ngono
 
Leo Magufuli aliweka kituo kidogo Ikungi wakati anatoka Dodoma ambapo wananchi walisimama barabarani kumsubiri akiwa anaelekea kwenye mkutano wa kampeni Singida. Pamoja na ahadi nyingine pomoni, pia amemuahidi mgombea mwenzake anaetokea Singida nafasi ndogo ya kazi kwa madai kwamba hii anayopambania hatoiweza.

"Mmoja wa wagombea nafikiri anatoka hapa (Singida) nishaurieni tu kwamba mimi mnipe kura nyingi yeye nitamtafutia kikazi kidogo dogo huko serikalini. Ni mtoto wetu tunampenda, wala hatuna tatizo na mimi ndugu zangu sina tatizo na mtu yoyote, kwani kazi lazima uwe Rais. Muachie Rais Magufuli wewe tutakupa kikazi unachoweza kufanya (Ikungi oyee)

Kwa sababu sisi wote ni wamoja, akija mwambieni kwamba Magufuli amesema atakupa kazi, kwa nini unahangaikia hii kazi ambayo hutashinda." Mwisho wa kunukuu.
Sio lissu alikuwa anamsema nyalandu bana. Nyalandu ndio mtoto wa ccm na wala sio lissu
 
Kuliko udhalilishaji kwa umaskini na maisha yako bora unyanyaswe kwa mambo mengine, Mzee leo kawaambia Singida kuwa atawapa kazi ndogondogo maana hawana nguvu ya kuwa na mgombea wakuingia Ikulu.

Kwanini tumepaniki kiasi hiki? Hatukujipanga kufanya kampeni? Eleza sera zako acha wananchi wachague siyo ueleze Mambo binafsi.
Duh, kweli tunatofautiana kwenye uelewa aisee
 
Leo Magufuli aliweka kituo kidogo Ikungi wakati anatoka Dodoma ambapo wananchi walisimama barabarani kumsubiri akiwa anaelekea kwenye mkutano wa kampeni Singida. Pamoja na ahadi nyingine pomoni, pia amemuahidi mgombea mwenzake anaetokea Singida nafasi ndogo ya kazi kwa madai kwamba hii anayopambania hatoiweza.

"Mmoja wa wagombea nafikiri anatoka hapa (Singida) nishaurieni tu kwamba mimi mnipe kura nyingi yeye nitamtafutia kikazi kidogo dogo huko serikalini. Ni mtoto wetu tunampenda, wala hatuna tatizo na mimi ndugu zangu sina tatizo na mtu yoyote, kwani kazi lazima uwe Rais. Muachie Rais Magufuli wewe tutakupa kikazi unachoweza kufanya (Ikungi oyee)

Kwa sababu sisi wote ni wamoja, akija mwambieni kwamba Magufuli amesema atakupa kazi, kwa nini unahangaikia hii kazi ambayo hutashinda." Mwisho wa kunukuu.
Ni mtoto wetu tunampenda, wala hatuna tatizo na mimi ndugu zangu sina tatizo na mtu yoyote

Kauli ya Kuomba toba
 
Leo Magufuli aliweka kituo kidogo Ikungi wakati anatoka Dodoma ambapo wananchi walisimama barabarani kumsubiri akiwa anaelekea kwenye mkutano wa kampeni Singida. Pamoja na ahadi nyingine pomoni, pia amemuahidi mgombea mwenzake anaetokea Singida nafasi ndogo ya kazi kwa madai kwamba hii anayopambania hatoiweza.

"Mmoja wa wagombea nafikiri anatoka hapa (Singida) nishaurieni tu kwamba mimi mnipe kura nyingi yeye nitamtafutia kikazi kidogo dogo huko serikalini. Ni mtoto wetu tunampenda, wala hatuna tatizo na mimi ndugu zangu sina tatizo na mtu yoyote, kwani kazi lazima uwe Rais. Muachie Rais Magufuli wewe tutakupa kikazi unachoweza kufanya (Ikungi oyee)

Kwa sababu sisi wote ni wamoja, akija mwambieni kwamba Magufuli amesema atakupa kazi, kwa nini unahangaikia hii kazi ambayo hutashinda." Mwisho wa kunukuu.


KAMA MWALIMU WA CHEMISTRY ANAWEZA KUWA RAISI WA NCHI,,NASHANGAA KWANINI MWANASHERIA NGULI MFANO WA TL ASIWEZE KUWA RAISI WA NCHI.

Inashangaza sana pengine Magufuli, hajui ukweli kwamba Viongozi wengi bora ,wenye kuimarisha demokrasia ,kuongoza kwa vizuri, na kuheshimu uhuru wa mahakama wengi wamekuwa wanasheria,,kwa sababu nchi inaongozwa kwa sheria, na lengo likiwa maisha bora ya wananchi (Uchumi)

sasa kati ya hizi Taaluma mbili zinazotakiwa ili kufanikisha maendeleo ya nchi Magufuli hana hata taaluma moja, siyo Mchumi na wala siyo Mwanasheria,,

kwa sababu ni mkemia hayo mambo mawili inabidi ategemee sana ushauri pekee wa wachumi na wanasheria.

Wanasheria wengi wamejitahidi kuwa viongozi wazuri na wa mfano,,, Mfano, NELSON MANDELA, SOUTH AFRICA, LEE KAUAN YEW SINGAPORE, JOHN KUFFOUR GHANA, Prof ATTA MILLS GHANA, RAMAPHOSA South Africa, Barrack Obam, Bill clinton, Jimmy CARTER,, kifupi ni kwamba Marekani imekuwa na maraisi 26 wanasheria, Na ndio maana imekuwa mfano wa utawala bora na kidemokrasia.
Uingereza Magreth thatcher,, na wengine,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,

Sasa ni vizuri pia tukajifunza Wan Chemistry wao uongozi wao upoje,,tupate mfano mwingine,,,
ukimwacha Magufuli,,,
 
John Mnyika, Katibu Mkuu wa Chadema amesema “ Leo Magufuli amefika Ikungi nyumbani kwa kina Lissu na kusema atamtafutia Lissu kazi ndogo ndogo aachane na Urais, na sisi tunamjibu Magufuli kuwa Urais sasa baasi kuanzia 28/10/2020 Rais atakua Ndugu Tundu Antipas Lissu.
 
Katika vitu vinampa hali ya ubaridi na hofu Magufuli basi ni Lissu, tangu jamaa arudi nchini kutokea kwenye matibabu mzee anazidi kukonda na sura yake kwa siku za hivi karibuni imejawa hofu, anamtesa kwenye nafsi yake ni vile Hana jinsi anatamani kuomba msamaha ila kwa nafasi yake hawezi atakuwa ameivua chupi serikali yake,

Na doa hili ataenda nalo mpaka kaburini
 
Anachomaanisha ni kuwa uchsguzi halali haupo au hautakuwepo kabisa.

Psychopath huamini kuwa wao ni "mungu" hawashindanishwi hivyo huishia kuwashangaa wanaojaribu kushindana na mungu
Sio utani ana maanisha
Psychopath: a person with a psychopathic personality, which manifests as amoral and antisocial behavior, lack of ability to love or establish meaningful personal relationships, extreme egocentricity, failure to learn from experience .
 
Back
Top Bottom