Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Umepanik sana,JPM kawachapa panapostahili,kwani uongo?hata Tundu anajua anafanya masihara hayupo siriaz
Kuliko udhalilishaji kwa umaskini na maisha yako bora unyanyaswe kwa mambo mengine, Mzee leo kawaambia Singida kuwa atawapa kazi ndogondogo maana hawana nguvu ya kuwa na mgombea wakuingia Ikulu.
Kwanini tumepaniki kiasi hiki? Hatukujipanga kufanya kampeni? Eleza sera zako acha wananchi wachague siyo ueleze Mambo binafsi.