Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma nzito ipi wakati Lissu keshajichokea hata wiki ya kampeni haijaishaKama ni kweli basi ameshaona ngoma ni nzito
Magufuli alipaswa kuwa nyampara wa barabara na sio rais wa nchi!Umesikia wapi Magufuli alisema atampa u AG Lissu? Kasema atampa kazi ndondogo, AG siyo kazi ndondogo.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Lisu atapewa kazi ya kubeba mafaili na rais Magufuli,
Zile zilipita bahati mbaya tu pale maana kama dhamira ingekuwa kumuua, risasi moja ingetosha kummalizaSasa zile risasi 36 zilikuwa za kazi gani
Mkuu huwezi taka zaidi sehemu isiyo na zaidi, hicho unachokiona na kukisikia ndicho cha kwake na ndiyo uhalisia wake hayo unayotaka yatatoka wapi! Staajabu kidogo hapa:Kuliko udhalilishaji kwa umaskini na maisha yako bora unyanyaswe kwa mambo mengine, Mzee leo kawaambia Singida kuwa atawapa kazi ndogondogo maana hawana nguvu ya kuwa na mgombea wakuingia Ikulu.
Kwanini tumepaniki kiasi hiki? Hatukujipanga kufanya kampeni? Eleza sera zako acha wananchi wachague siyo ueleze Mambo binafsi.
Tatizo ngoma imewambwa kwa ngozi ya nyati.Mzee wa tutashitakiwa MIGA ni bure kabisa kila hotuba yake lazima aombe wazungu wamsaidie!!!
Mbona mnatikisa mikia na kunyanyua masikioKuliko udhalilishaji kwa umaskini na maisha yako bora unyanyaswe kwa mambo mengine, Mzee leo kawaambia Singida kuwa atawapa kazi ndogondogo maana hawana nguvu ya kuwa na mgombea wakuingia Ikulu.
Kwanini tumepaniki kiasi hiki? Hatukujipanga kufanya kampeni? Eleza sera zako acha wananchi wachague siyo ueleze Mambo binafsi.
Labda rais wa taasisi na vyama vya kijamii vitakavyomuona anawafaa lakini sio rais wa nchi ya TanzaniaImekuuma jua ndio ukweli lisu hawezi kuwa rais over
Umenena vema mkuu.Nilidhani tungezungumzia shida za ikungi na sio lissu..
Jiwe huwa anapanic ile mbaya, awape kazi wanaccm maana ndio huwa wanamtemekea. Na kina Mbatia, Lipumba ndio wenye shida na kazi za jiwe.
Fomu yenyewe ya urais kashindwa kujaza."JPM hafai kwa Rais, anafaa kuwa mnyampala" by Kingunge Ngombale Mwiru