Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli hataki wenzake wawe marais isipokuwa yeye mpakwa mafuta [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Jamaa eti hizi ndio sera zake kwa Sasa duh...View attachment 1555298
Lissu akisikia habari hizi atapayuka kama kawaida yake.
Anajua anatawala watu wajinga ndio maana anaongea ujinga bila aibu.Majengo zahanati,vituo vya afya, maji.. Eti Sikuwahi kuombwa maji.... Mtaturu miezi michache kaniomba maji... wengine walikuwa hawaombi ( Lissu).. Hivi miradi afya,maji ,barabara ni hisani ya mtawala!?
Kichaa kapewa rungu anapiga popote pale palipo mbele yake.matibabu walikataa!
Kifo kilitakiwa!
Ubunge walimnyanganya!
halafu leo ampe kazi? maneno mabaya yaloyojaa kejeli na dharau sana.
Uwezo wa kurusha hana mpuuzi huyoNyomi anayopata Lisu inaanza kumpqnikisha John. Anaanzia kupuyanga. Mpk miezi 2 ikaishe utasikia karusha la nguoni.
Sasa kama unajua ni tumeccm mmekomaa na kampeni za nini?Baadhi ya Watanzania mnashangaza sana. Eti unathubu kuandika kwamba Lissu hamshindi yesu fake popote pale! Huku ukijza fika kwamba uchaguzi si huru wa wala wa haki! Unadhani hao tumeccm watakuwa tayari kumtangaza Lissu mshindi huku wakijua fika kwamba ajira zao zitaota mbawa.
Watanzania kama wewe ndiyo tatizo kubwa la kuendelea kuwepo Serikali haramu madarakani na kusababisha Nchi ikose Maendeleo ya kweli.
Upo, Katambi aliomba yeye anatosha kwenye huo mdahalo, Kama mna ubavu itisheni huo mdahalo.Hivi mdahalo wa wagombea upo àu haupo
Eff off.We na panzi akili ni zilezile hamna tofauti!
"JPM hafai kwa Rais, anafaa kuwa mnyampala" by Kingunge Ngombale MwiruTundu Lisu anafaa kuwa AG au DPP lakini siyo Rais wa Tanzania!
Siasa ni imani kwa kile mtu anachojua ni sahihi. Kama wewe unavyoamini kwa Tundu ndivyo Mimi ninavyoamini kwa Magu. Kati yetu mmoja anaweza kubadilika na kufanana na mwenzie kiimani kama ataona manufaa kwenye kile anachoamini.Baadhi ya Watanzania mnashangaza sana. Eti unathubu kuandika kwamba Lissu hamshindi yesu fake popote pale! Huku ukijza fika kwamba uchaguzi si huru wa wala wa haki! Unadhani hao tumeccm watakuwa tayari kumtangaza Lissu mshindi huku wakijua fika kwamba ajira zao zitaota mbawa.
Watanzania kama wewe ndiyo tatizo kubwa la kuendelea kuwepo Serikali haramu madarakani na kusababisha Nchi ikose Maendeleo ya kweli.
Mgombea wenu kutwa kucha anaongelea tukio la miaka mitatu ilopita; je nalo lipo kwenye ilani?Ipo kwenye ilani
Siasa ni imani kwa kile mtu anachojua ni sahihi. Kama wewe unavyoamini kwa Tundu ndivyo Mimi ninavyoamini kwa Magu. Kati yetu mmoja anaweza kubadilika na kufanana na mwenzie kiimani kama ataona manufaa kwenye kile anachoamini.
Tuendelee kuelimishana siasa sio vita
Huyu mtu huyu 😎😎😎😎😎Acha kupotosha, huyo alikuwa kujisalimisha Magufuli alipokaza uzi suala la madini.
Mwenye beberu lake huyu hapa.View attachment 1555350
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Tundu Lisu anafaa kuwa AG au DPP lakini siyo Rais wa Tanzania!