Ila kutapeliwa kunauma wakuu

Hah
Hahah, dingi alitisha sanaa, hao jamaa nliwah kutana nao ktambo sana nkiwa dogo wakanilisha manywele wapumbafu wale, ila hawakuchkua ht mia
 
Daah! Pole sana mwaya kutapeliwa hakuna mwamba sababu matapeli kila siku wanakuja na mbinu mpya.

Afadhali umeileta humu ili na wengine tujifunze mana hiki ndio kipindi cha watu wengi kutapeliwa.

Japo nawaza wamekujuaje jina lako sasa. 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…