Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Ile trick Hadi kesho sijaijua ila walikua wananitoa manyoya Yale ya kuku mdomoni wakaniambia Kwa usalama wako vua kila kitu usije uka anza kuumwa kama bibi yako!Wamekutoa manyoya yaani ukimaanisha....Mzee alishajua wa Mjini hao
Ndio ni bonge mkuuKwan mtoa mada ni bonge??
Inabidi uongeze kiwango chako cha imani juu ya ulinzi wako toka kwa Mungu. Mpaka wamefanikiwa kukuhadaa kwa nguvu za giza maanake ulinzi wako ni mdogo.
Njoo nikupeleke bongeBibi zetu nao wanajifanya wamjini tatizo,.
Nipeleke basi hata kwenu
HAdi najiskia aibu mkuu,. Nimekuja kujistukia baadae sana kama nitakua nimepigwaPole sana Dada.
Lakini tusiwahi haraka kusingizia uchawi. Hakuna cha uchawi hapa. Hapa mimi naona ni ujinga na uzembe wako binafsi.
Kwann unaibiwa kizembe namna hiyo.!!!🤔
Aaah wapi we ni bonge mkuuUnapata dhambi mkuu😂,. Mie nimenyooka kama moja
Hahah, dingi alitisha sanaa, hao jamaa nliwah kutana nao ktambo sana nkiwa dogo wakanilisha manywele wapumbafu wale, ila hawakuchkua ht miaHata Mimi nikiwahi pigwa na Hawa kenge,nimetoka zangu home full pocket money naelekea zangu boarding school wale wangese walinisimamisha wakataja majina yngu yote matatu na kuongezea kubwa bibi yako ni mgonjjwa sana halafu wakanitoa manyoya mdomoni nakuja kujitambua wamesepa na kila kitu Hadi lakuchumpa langu timberland Kuna msamaria akanipa ndalana nauli narudi home kilio tu.Cha kushangaza mshua alicheka tu Wala hakuna react!
Kwetu tulifundishwa hivi,Maana haimake sense walimjuaje hadi majina
Ni Songea hapo, nilimuona kipindi wanaongea nayePole sana mkuu... But soko la wapi hilo, maana sijaelewa hapo unavyosema sokoni eti.