Ila kutapeliwa kunauma wakuu

Ila kutapeliwa kunauma wakuu

Hah
Hata Mimi nikiwahi pigwa na Hawa kenge,nimetoka zangu home full pocket money naelekea zangu boarding school wale wangese walinisimamisha wakataja majina yngu yote matatu na kuongezea kubwa bibi yako ni mgonjjwa sana halafu wakanitoa manyoya mdomoni nakuja kujitambua wamesepa na kila kitu Hadi lakuchumpa langu timberland Kuna msamaria akanipa ndalana nauli narudi home kilio tu.Cha kushangaza mshua alicheka tu Wala hakuna react!
Hahah, dingi alitisha sanaa, hao jamaa nliwah kutana nao ktambo sana nkiwa dogo wakanilisha manywele wapumbafu wale, ila hawakuchkua ht mia
 
Daah! Pole sana mwaya kutapeliwa hakuna mwamba sababu matapeli kila siku wanakuja na mbinu mpya.

Afadhali umeileta humu ili na wengine tujifunze mana hiki ndio kipindi cha watu wengi kutapeliwa.

Japo nawaza wamekujuaje jina lako sasa. 🤔
 
Back
Top Bottom