Ila kutapeliwa kunauma wakuu

Wadau huu uzi comments zaidi ya 225 na una views 2000. Tumchangie mwenzetu hata buku buku tu.
 
Kusamehe hapo sio rahisi mkuu,.

Hiyo ya kwanza nadhani inaweza ikafanya kitu mana siko maeneo ya mbali sana,.
Hawawezi kunizingua nikiwa mwenyewe Au nitafute mtu mzima niende nae,.
 
Una moyo wa ujasiri sana aisee,. Kuishi unamwangalia mwizi wako sio mchezo ujue
 
Pole sana
 
Kusamehe hapo sio rahisi mkuu,.

Hiyo ya kwanza nadhani inaweza ikafanya kitu mana siko maeneo ya mbali sana,.
Hawawezi kunizingua nikiwa mwenyewe Au nitafute mtu mzima niende nae,.
Hapana hawawezi we kuwa comfortable tu ukifika, we unachofanya ni kuulizia kama watakuwa wanazifahamu shule hizo za st st watakwambia tu. Ila hata ukitaka kwenda na mtu mzima then yeye ndo akauliza kwa niaba yako pia imekaa njema
 
Daah kwakweli siwezi kujudge mpaka yanikute ila kwa kusimuliwa unaweza kuona simple sana. Mimi sijui ila ningetafuta namna nyingine niwafirimbe washenzi hawa.

We listen we don't judge. Pole sana ndugu
 
Hapana hawawezi we kuwa comfortable tu ukifika, we unachofanya ni kuulizia kama watakuwa wanazifahamu shule hizo za st st watakwambia tu. Ila hata ukitaka kwenda na mtu mzima then yeye ndo akauliza kwa niaba yako pia imekaa njema
Yeah ngoja nijaribu huenda nitapata kitu,. Zilipo shule zao na kituo chao cha watoto wa mazingira magumu napafahamu, ila kwenda mwenyewe nisije kuharibu wacha niende na mtu mzima
 
Sema umetapeliwa kizembe mno kuna utapeli mtu ukifanyiwa unaweza sema hii bahati mbaya tapeli katumia akili nyingi, a hii ya kwako haina hata haja ya uchwaw wamekuona bumunda
 
Mmh!aisee pole sana
Mjinga kumpa pole haimsaidii! Iko hivi; mtu yeyote hata kama ni mzazi wako au mwanao; whoever no matter the relationship akianza kuomba, kutaka kujua, au hata kutajataja taarifa zako binafisi - jina, namba ya simu, unapoishi, etc etc etc as long as ni taarifa zako specific na huna business yoyote naye huyo huhitaji kuendelea na mazungumzo naye.

Just ignore him/her sembuse mtu umemkuta barabarani! Watu wengine sijui wana akili za aina gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…