Ila kutapeliwa kunauma wakuu

Mmnh
 
Mkuuu waache kutapeli wenye mabilioni wanitapeli mimi
 
Kutapeliwa huwa ni ujinga tu, na pia kinachonipa hasira zaidi ni watu kuamini kuwa ni uchawi.
 
Duuuh,🤔
 
Tatizo waliivyoniita kwa majina yangu na nikaitika tukasalimiana inaonekana ni watu familiar au wananijua mda mrefu sijui
Hizo mbinu wanazitumia sana hata kwenye simu, niliwahi pigiwa simu yule jamaa alitaja hadi jina ambalo natumia nyumbani huko mkoani, nikamuuliza mbona sijakujua ila sauti yako inafanana na ya fulani, akasema ndio yeye. Baada ya kusema vile nikawaza huyu jamaa yangu halijui lile jina la nyumbani nikakata simu.
 
Serious nadhani wanatumia dawa sio bure
 
Hahahha😂😂😂
Eti frequency za FM radio
 
Wangekulamba siku hio ungelia kila sehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…