Namshakende
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 671
- 1,644
Naweza hata nsiongee safari nzimaDuh kitu nashukuru sijawahi paparikia namba ya mdada hata siku moja na sidhani kama ntafanya hvo, hv mfano nasafiri naye labda dar Tanga npo nae seat moja nimuombe no?
Hii kitu hata mimi imenishinda. Mpaka mademu wanaona nalinga. Hata nikiingia maeneo yangu ya kumwagilia moyo unakuta demu anakuja karibu kujichezesha mziki, mara azuge kukumbatiana na mshkaji wa pembeni yangu yaani stupidity stuffs kibao hii yote kuvuta attention yangu halafu naendelea mambo yangu kama sijamuona kabisa. Mwanamke ukimnyima attention aanachanganyikiwa na kujirahisisha kwako, kwa sababu ya kupendeza na ukauzu wa kuwanyima attention mademu nakula pisi kali ambazo wengine kuzipata wanalazimika kuingia gharama kubwa sanaKatika vitu siwezi basi ni kumshobokea mwanamke.
Ni upuuzi tu, ukute unaenda kuomba namba hujui mdada ana strong bond na mshkaji wake unapigwa miamala mpaka ukome, na hawa viumbe ukishamshobokea ana-upgrade status yake kuanzia usafiri, bando, urembo, nyumba anayoishi na chakulaNaweza hata nsiongee safari nzima
Katika mambo siwezi ni kushobokea kiumbe kinaitwa mwanamke
Yaani mwanamke mwonyeshe jeuri aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hukua na habari? Ba tamu angu wa JF, anapatikana pale mikocheni HQ.Naijua mwanzo mwanzo mwisho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hovyo wewe....
Wamekufungia kung'ora au mwenzetu una mtu wako kule juu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Weeeeeh weeeeh weeeh ππππππππ acha basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hukua na habari? Ba tamu angu wa JF, anapatikana pale mikocheni HQ.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] habari ndo hiyoo.Weeeeeh weeeeh weeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha basi
Sis momy kajichanganya vipi.... Kwani πππππππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] habari ndo hiyoo.
Au ndo kafungiwa kwa ndoaSis momy kajichanganya vipi.... Kwani πππππππππ
Hiyo nilikua sijui ila ntafanya juu juu nijue vizri[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] habari ndo hiyoo.
Kwan unadhani hata mie nikikoroga sinywii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sis momy kajichanganya vipi.... Kwani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] thubutuuuu, huwezi jua kamweee.Hiyo nilikua sijui ila ntafanya juu juu nijue vizri
Yaaan weewe unaponeaga chupu chupu au una danga lako juu kule ππππππππKwan unadhani hata mie nikikoroga sinywii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntalinywa km kawaa, sema ameniepusha na mengi.
Akiona kuna vurugu zipo humu ndani, lazima anitonye na anikimbizee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntajua tuu nakuona unakuaga unahaha ukishapenda wewe πππππππ.uwezi gandisha kitu kama hiko utasema tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] thubutuuuu, huwezi jua kamweee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nimestaafu heka heka, ukubwa huu sasa.Yaaan weewe unaponeaga chupu chupu au una danga lako juu kule [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km JF ilijua ni kwa yule mmoko baas. Mbona be4 yule kulikua na mtu na hawakujua had leo?Ntajua tuu nakuona unakuaga unahaha ukishapenda wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].uwezi gandisha kitu kama hiko utasema tu
Kweli umestaafu sa hvi umekua na kasura kaupole kabisa....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nimestaafu heka heka, ukubwa huu sasa.
Nawaachia new comers.
Nyoooooo... Now kuna mapaparzi kina poor weee jichanganye tuu naona ushaanza πππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km JF ilijua ni kwa yule mmoko baas. Mbona be4 yule kulikua na mtu na hawakujua had leo?
Hii inakua chini ya kapetiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]