[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] T-shirt ipii ya JF? nna zawadi za JF ila nlikofichaa cjui nani ataonaa.Kweli umestaafu sa hvi umekua na kasura kaupole kabisa....
Alafu kama nilikua nakuona na tshirt yako ya jf [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutuuuu!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyoooooo... Now kuna mapaparzi kina poor weee jichanganye tuu naona ushaanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bana bana... Hayo mambo ya tuzo kipindi kile mbna watu walishakujua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] T-shirt ipii ya JF? nna zawadi za JF ila nlikofichaa cjui nani ataonaa.
Kuna hako ka diary, ni katamu balaa, nashindwa kukatumia watu watajua mie ni memba wa JF, woiiiih
Nyooo tulia wewe utaniwi....Thubutuuuu!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Upaparazi? Sasa hiyo c ndo konkiii mi mwenyewe? Au unataka nikufunulie yako? Sema suu!!!
πππππππππππππππππππ Daaah nimecheka sanaMi mara nyingi huwa sinyimwi namba......namba napewa vizuri kabsa ila baada ya kupewa namba sasa mchakamchaka na misukosuko ndo vinaanzia hapo.
Acha tu mkuu, mambo ya Medani za mapenzi si mchezoπππππππππππππππππππ Daaah nimecheka sana
Namba unapata vizuri tuu..Acha tu mkuu, mambo ya Medani za mapenzi si mchezo
Basi acha. Wako wengi, si lazima yeyeTatizo lipo Kwenye kupokea number mkuu,unaeza ukampa number akakukatalia
Hii "nyooo" haipo kiume kabisa, naamini ww ni mwanaume. Sio kwa ubaya, Ila hii comment haijakaa kiume aiseeNyooo tulia wewe utaniwi....
ππππππ Unataka nibadilishe ID mara ngapi we mdada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wananijadili wapiiii? Mie sikuenda nilimtuma mtu.Bana bana... Hayo mambo ya tuzo kipindi kile mbna watu walishakujua
coca ndo mana nasema hyo t-shirt unayo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wee katume ahahaha ukute watu wana kujadili kama siku ile.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbee muogaa.Nyooo tulia wewe utaniwi....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unataka nibadilishe ID mara ngapi we mdada
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kantriii kwann lakinii? Mbona uko hvyoo?Hii "nyooo" haipo kiume kabisa, naamini ww ni mwanaume. Sio kwa ubaya, Ila hii comment haijakaa kiume aisee
Usimuendekeze sana coca, kuna mitabia utaibeba shauri yako
Ww unaona sawa huyo dogo kila muda kutumia "nyoooo"?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila kantriii kwann lakinii? Mbona uko hvyoo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em muache mdogo angu bhana, afuu udugu wangu msalimie.Ww unaona sawa huyo dogo kila muda kutumia "nyoooo"?
Sawa endeleeni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em muache mdogo angu bhana, afuu udugu wangu msalimie.
Nimemmic sanaa, ananiweka upwekee.
ππππππππ Wee amini hivo hivo...Hii "nyooo" haipo kiume kabisa, naamini ww ni mwanaume. Sio kwa ubaya, Ila hii comment haijakaa kiume aisee
Usimuendekeze sana coca, kuna mitabia utaibeba shauri yako
Wanasema nakuiga... ππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wananijadili wapiiii? Mie sikuenda nilimtuma mtu.
Afu niliyemtuma sasa, alikua anasadifu nachokiandika humu.
Naona moderators na wadau wa JF, walidhani mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wasubiri siku special ntatimba maeneo yao.