Plan ishabadilika, kipaombele sasa ni kurudisha tabasamu usoni, pesa mfukoni na mzunguko wa Pesa mtaani...hayo ma miradi ya mwenda zake sidhani km wanayatilia umuhimu tena, labda yale ambayo yalishaanza...
 
km 294+km 130+km 250+km 411+km 360+km 156+km 356+km 1,253+km 1,000=4,210

Kama Dar - Moro ni km 300 imechukua miaka 5 na bado haijakamilika kwa hesabu za cross multiplication km 4,210 itachukua miaka mitano tena ambayo ni 2020 to 2025?
 
Mungu fundi sana kulibeba liwe jiwe. kwa ilani hii watumishi increment na madaraja wangeendelea kuota. yani wangelimia ulimi..
Manake pamoja na uchumi kushuka corona mwamba angekomaa kutandaza mivyuma ardhini...Mungu ni mwema.
 
Mama afanye linalowezekana. Mbona bandari ya bagamoyo tuliitelekeza? maendeleo ya vitu yaendane na ya watu. unahangaika kuchimba mabwawa huku watu wanalimia meno kisa tu wewe unashiba kwa kodi za dhulma.
 
km 294+km 130+km 250+km 411+km 360+km 156+km 356+km 1,253+km 1,000=4,210

Kama Dar - Moro ni km 300 imechukua miaka 5 na bado haijakamilika kwa hesabu za cross multiplication km 4,210 itachukua miaka mitano tena ambayo ni 2020 to 2025?
Mkuu, ulikuwa unakwenda vizuri sana, na nikataka kukupa 'like' ya furaha kabisa kwa fikra pevu.

Lakini umekosea padogo tu, na siwezi kukupa nusu 'like', kwa hiyo nakupa 'like' kamili.

Kama imechukua miaka mitano toka Dar hadi Moro, km300, ina maana kila mwaka mmoja zinajengwa km 60 tu!
km300 /5 = 60 km

Kwa hiyo, kwa hizo km 4,210/60 = 70.
Itachukua miaka 70 kujenga reli hizo kama kasi ya ujenzi itakuwa sawa na hii inayotumika kwa kipande cha Dar hadi Morogoro!
 

Miaka 5 wakati tuka mwaka wa sita na bado haijaanza kutumika.
 
sio lazima hayo yaliyoahidiwa yatekelezwe. Mbona kwenye kampeni za 2015, tuliahidiwa sh milioni 50 kila kijiji lakin hatukupewa?.
 
Na kwa akili zetu watanzania tunaona tunaweza.....

Tunahitaji mipango thabiti yenye kutekelezeka ndani ya muda na sio majumuisho ya mipango.

Vip CCM tukija na mpango wa maendeleo (tofauti na ule wa serikali) wa miaka 50 na kila Raisi akapita humo tena kwa mdadavuo wa kila miaka mitano.

Lakini MKUU naona kama umedata
 
🙏✍️🤝
 
Mungu fundi sana kulibeba liwe jiwe. kwa ilani hii watumishi increment na madaraja wangeendelea kuota. yani wangelimia ulimi..
Manake pamoja na uchumi kushuka corona mwamba angekomaa kutandaza mivyuma ardhini...Mungu ni mwema.
Crap
 
km 294+km 130+km 250+km 411+km 360+km 156+km 356+km 1,253+km 1,000=4,210

Kama Dar - Moro ni km 300 imechukua miaka 5 na bado haijakamilika kwa hesabu za cross multiplication km 4,210 itachukua miaka mitano tena ambayo ni 2020 to 2025?
hahahaha ila watu tunakosea sn magufuli madarakani aliingia mwezi wa 10/2015 sizani alianza na sgr hapo hapo naona tunachanganya alivyo kaa madarakani na tareh yakuanza ujezi wa sgr. naona tupunguze siasa tutafute ukweli tujenge hoja.

kingine naona hzo ni road map plan zina faida nying tu kwa taifa hata kama hazita tekelezeka. kwamba inaonyesha taifa lina maono mapana hata muwekezaji akija anaona mazur katika fikra zetu ndani ya miaka 20 mbele. kingine akija raisi mwengine awe na muungozo pia utakao mpa mawazo ya njisi yakuendeleza hiyo miradi
 
hahahaha ila watu tunakosea sn magufuli madarakani aliingia mwezi wa 10/2015 sizani alianza na sgr hapo hapo naona tunachanganya alivyo kaa madarakani na tareh yakuanza ujezi wa sgr. naona tupunguze siasa tutafute ukweli tujenge hoja
Ujenzi wa SGR umeanza 2016 na leo ni 2021
 

Ukurasa namba 94 wa ilani ya CCM 2020/2025 kuhusu ujenzi wa Reli​

 
ilani ingekua inatekelezeka yote kuna mtu angetoka madarakani analaumiwa kwel
Ni bora ukaandaa kidogo kikamilike kuliko kuandaa kikubwa usifanikiwe kukikamilisha, unaonekana muongo
 
Asante sana Mkuu kube ni 2017 maana niliona magorofa ya pale KAMATA yanavunjwa ilikuwa 2016 kumbe yalikuwa maandalizi tu
hapo n miaka 4 ss imepita hadi mwaka huu mwezi wa 4
Ni bora ukaandaa kidogo kikamilike kuliko kuandaa kikubwa usifanikiwe kukikamilisha, unaonekana muongo
hizo ni plan tu ila katika utekelezaji kuna mambo ya budget kuna priorities kwakua nchi sio reli tu alafu kingine tunategemea mikopo ya riba nafuu mbila kua na plan yenye ushawishi haupewi mkuu.
 
Ni bora ukaandaa kidogo kikamilike kuliko kuandaa kikubwa usifanikiwe kukikamilisha, unaonekana muongo
Akili ndogo kweli wewe... aim pakubwa hata ukipata kidogo ni sawa... watu wanawaza kwenda sayari za mbali wewe unataka twende moro... hii ni nchi na sio familia yako yenye mawazo finyu. Nyie ndo siku zote mnarudisha maendeleo nyumba kwa hofu kuogopa kufeli... pambana wewe, fikiri nje ya box.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…