Ile pisi ni kali imenifanya mpaka niunde business card


Mkuu hukuwa na nia aseee
 
Haa ha ha; du!
 
unaacha kwa sababu ya her days wakati ushalipia...pelekea motoo peleka moto
 
Nenda kamuombe appointment ya lunch na umpeleke sehemu nzuri mkale samaki na ugali wa muhogo
 
Wakati unampatia business card ungemuuliza tu 'are you single?' hapo lazima angekujibu
Hakuna mwanamke ambaye yupo single.We ingia kwenye 18 zake,fanya tu madoido,jiangushe,Refa ndio aamue inakuwaje.
Mambo ya kuulizana usingle, sijui nini!?
Hahaaa labda umuulize kama ni single mama๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mkuu jiamini,mweleze dukuduku lako acha kuzungukazunguka.
 
Hakuna mwanamke ambaye yupo single.We ingia kwenye 18 zake,fanya tu madoido,jiangushe,Refa ndio aamue inakuwaje.
Mambo ya kuulizana usingle, sijui nini!?
Hahaaa labda umuulize kama ni single mama๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Unaweza ukaparamia mke wa mtu ukaishia kupewa ulemavu kama kutobolewa macho n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ