Ile pisi ni kali imenifanya mpaka niunde business card

Ungeomba simu yake

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kuna jamaa alikuwa anatoka na mke wa mtu,kilichotokea alipalalaizi viungo vyote vya mwili; sasa hivi ni marehemu
Hebu usitishe watu bwana we!! Aliparalize kwa magonjwa yake tu.
 
hilo ndiyo kosa kubwa nimefanya. niliamini salio la akaunti litashawishi
Mimi nimewahi kuomba live live uso mkavu na nikapata namba fresh tu.
Imeshakuwa mara 2 moja ilikuwa bank teller pale masaki jina la bank kapuni nikapewa akaandika na nyingine ni pale Makumbusho.
Wote nimeshapiga na marafiki zangu bado.
 
Hmmmmm
 
Duuu haitakiwi uwe na njaa na asipokupa usiumie laki yako kwenda na unaanza zile Bora ningeifanyia hichi.
Ila siwezi toa hela yote kisa mbususu.
Mo mwenyewe akihonga kubwa Sana ni laki. C6 duu wa kibongo akina mooobeeeto Wana complain kuwa unatoka na bilionea afu unaambulia laki. Waweza ona how blacks we invest in sex. It takes much of our energy and our resources like brains,time,money.

Mie naenda na ratio ya Mo kuhonga.
Mo anamiliki dola bilioni 1+ so namie namiliki dola 10k.
So tafuta ratio ya laki to 1+ USD bilioni namie nayemiliki 10k USD natakiwa nihonge ngapi.

Kila la heri mkuu Kama unaitoa laki Kama sh Mia kwangu.
Mie Kuna demu ameshawahi niomba hela ndo amenipa namba nikaifuta.
Naamini anayekupenda hakuombi hela ama kukupiga mzinga
 

 
Ukamuachia bussines card bila hela ya voucher unasubiri tu akutafute we endelea tu kusubiri akutafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…