Haya ni maneno yaliyoandikwa na mwanamke asiyekaa chini kufikiri.hahahaha,, thamani ya ubikra n kwa wanaume wa zaman waliojitambua sio kwa nyie wasasa😎
Hii sio sababu ya kuhalalisha wanawake wafanye ngono na kila mtu bila commitment.Hakuna uhusiano kati ya mke mwema na ubikra. Na ukimuoa mwanamke kwasababu ya bikra kuna wakati utafika utamchukia baada ya kumtumia.
Kuna dada alijitunza hadi akafikisha above 25yrs na bado aliyembikiri hakumuoa na hakumtaka twna baada tu ya kumbikiri kwa kutumia nguvu. Sometimes anajutia hata kwanini alijitunza. Wasio na bikra wanapata waume wa maana tena wanatulia na ndoa zao
Hakuna wanaume wanaothamin bikira sasaiv ila porojo za midomo tu,, mnasema washamba wa mapenz 😎😄Mungu ndo wa kwanza kuipa ubikra thamani alipoamua kumtumia mwanamke bikra kumleta Yesu duniani.
Maana yake Mungu altona wanawake wasio bikra ni wachafu kinafsi na kiroho na hawawezi ruhusiwa kumleta Yesu duniani.
Kama Superpower kama Mungu anaithamini ubikra , kwanini sisi tusiithamini?
Tafiti za wapi? Kuwa bikra ni sawa, lakini ni lazima mwanaume ajitume sana ili huyo mwanamke apate kile alichokuwa anasikia. Ama sivyo lazima atatafuta kwingine au ataanzisha mgogoro kywa hapendwi.Tafiti zinaonyesha wasio bikra wanasaliti sana waume zao kuliko walio mabikra.
Ndio hapo. Kijana wa kiume ana miaka 25 lakini kutembea na wasichana idadi yao inajaza coaster halafu kijana kama huyo anataka aoe bikra.hahahaha,, thamani ya ubikra n kwa wanaume wa zaman waliojitambua sio kwa nyie wasasa😎
Wapo , wanaume waliolelewa kimaadili wanazithamini.Hakuna wanaume wanaothamin bikira sasaiv ila porojo za midomo tu,, mnasema washamba wa mapenz 😎😄
wanaropoka tu tuwasamehe,,wao wenyewe wakioa mabikira wanasema mapenz hawajui wanaenda nje uko,,wasituchosheNdio hapo. Kijana wa kiume ana miaka 25 lakini kutembea na wasichana idadi yao inajaza coaster halafu kijana kama huyo anataka aoe bikra.
Wababa wanavitafuna vitoto vidogo halafu haohao wanataka wasichana wawe bikra, watazitoa wapi sasa wakati wao ni vinara wa kuzitoa mapema baada ya kuvunja ungo tu.
Anaweza kuwa sio bikra ila hajawahi toa.Tafiti za wapi? Kuwa bikra ni sawa, lakini ni lazima mwanaume ajitume sana ili huyo mwanamke apate kile alichokuwa anasikia. Ama sivyo lazima atatafuta kwingine au ataanzisha mgogoro kywa hapendwi.
Binafsi naona mwanaume akimpenda mwanamke anakuwa naye tu bila masharti. Ila kama ameoa kwasavabu ya bikra, hapo hakuna ndoa! Kwanza huyo anayetafuta bikra, yeye naye ni bikra?
Wapo waliooa bikra na wametendwa vilevile. Kwa hiyo na wao wanaona kuoa bikra sio dili kama walivyokuwa wanadhani.Wapo , wanaume waliolelewa kimaadili wanazithamini.
Wanaume wanaotaka kuwa na wanawake kwenye ndoa zao.
Mara ya kwanza niliona kutokuwa bikra kwa wanawake sio shida ila matukio nayoyaona, naanza kubadili mawazo.
Wanaume wasio na maarifa ndo hawatawathamini mabikra, ila mabikra wa kike ni bora.
Makosa ni ya wote.Kwa nini uasherati uwe kwa wanawake tu? Vitabu vya dini na hata tamaduni za kiafrika zinataka wote me na ke wasifajnye ngono kabla ya ndoa.. Huwezi kuwaambia wanawake wajitunze bila kuwaambia wanaume wajitunze pia maana wanaoshawishi ni wanaume.
Ni kama ubakaji, huwezi kuwaambia wanawake wakwepe ubakaji ili hali hujafanya lolote kuzuia upande wa pili kuacha tabia za ubakaji.
Sasa kwa nini mtoa mada anaongelea ke tu kuwa bikra. Huwezi kuwa na jamii yenye maadili kwa kuangazia upande mmoja tu.Makosa ni ya wote.
Wanawake wasiojitunza na wanaume wanaofanya uzinzi , imeandikwa wote wataenda sehemu iwakayo moto na kiberiti.
Mungu hana ubaguzi.
Bikra ana thamani mno sema pia factor nyingine baada ya bikra ni malezi na kabila.Wapo waliooa bikra na wametendwa vilevile. Kwa hiyo na wao wanaona kuoa bikra sio dili kama walivyokuwa wanadhani.
Kwasababu wanawake ni walinzi wa mambo ya ngono.Sasa kwa nini mtoa mada anaongelea ke tu kuwa bikra. Huwezi kuwa na jamii yenye maadili kwa kuangazia upande mmoja tu.
Bikra ana thamani mno sema pia factor nyingine baada ya bikra ni malezi na kabila.
Huwezi niambia wanawake wa makabila ya kusini alafu unexpect uaminifu.
Nilikuwa nabisha sana kuhusu suala la makabila ila nimeona kwa macho yangu yana influence kubwa kwenye maisha ya mtu.
Yes bro .Upo sahihi.
Sex huwa inaua mind Sana .
Virgin is reward
Yes bro .
Tatizo wengi humu hawalioni hili.
Virgin women hawako traumatised kama non virgin women.
Kwanza wanawake wasio mabikra wana drama, wanapenda attention za wanaume mtandaoni na pia wako promiscous.
Most of cheapest women -ni zao la kutokuwa na bikra.
Mwanamke akijitunza inampa heshima Sana na wazazi wanapata heshima kubwa Sana.
Kuhusu wanaume Mimi naona mwnamke akiamua kutotoa ngono mwanaume hawezi kumlazimisha.
Wanawakd kila siku wanaolewa na bikra wala sio factor inaangaliawa. Vijana wenyewe wa hovyo halafu wanatarajia kuwa na wanawake waliojitunza, watawapata wapi ? Kwanza siku hizi kigezo cha kupata mke sio kuwa bikra tena.Most of cheapest women -ni zao la kutokuwa na bikra.
Mwanamke akijitunza inampa heshima Sana na wazazi wanapata heshima kubwa Sana.
Kuhusu wanaume Mimi naona mwnamke akiamua kutotoa ngono mwanaume hawezi kumlazimisha.