Ni kwako sio kigezo.Wanawakd kila siku wanaolewa na bikra wala sio factor inaangaliawa. Vijana wenyewe wa hovyo halafu wanatarajia kuwa na wanawake waliojitunza, watawapata wapi ? Kwanza siku hizi kigezo cha kupata mke sio kuwa bikra tena.
Ila kwa wanaume wengine, ni kigezo kikubwa.