Ili kujenga jamii bora yenye maadili, ianzishwe tuzo ya kutunza ubikra

Ili kujenga jamii bora yenye maadili, ianzishwe tuzo ya kutunza ubikra

Thamani ya ubikra ikoje kwanza?
Kwani wewe ulizaliwa bila bikra mkuu? Kama bado unayo, kaa na mamako umuulize atakupa maelezo. Au kama hauna mama basi kaa na dadako au shangazi yako au rafiki yako atakuepeza faida za bikra.

Lkn kama huna bikra maana yake malezi yako hayakuwa mazuri, na wewe mwenyewe utakuwa si mwanamke mwenye thamani kwa sasa.
 
sasa mkuu si unambie wewe
Kwani wewe ulizaliwa bila bikra mkuu? Kama bado unayo, kaa na mamako umuulize atakupa maelezo. Au kama hauna mama basi kaa na dadako au shangazi yako au rafiki yako atakuepeza faida za bikra.

Lkn kama huna bikra maana yake malezi yako hayakuwa mazuri, na wewe mwenyewe utakuwa si mwanamke mwenye thamani kwa sasa.
coz inaonesha unajua vizuri,,na uo uthamani sidhan kama ni nje na kuja kuliwa na mwanaume tena apo baadae 😄😄
 
sasa mkuu si unambie wewe

coz inaonesha unajua vizuri,,na uo uthamani sidhan kama ni nje na kuja kuliwa na mwanaume tena apo baadae 😄😄
Si unaonaga Kuna wanawake wanahongwa majumba, magari ya kifahari na wanafunguliwa mabiashara makubwa? Hawa Wana thamani .

Halafu Kuna akina nyie mnahongwa buku, chips, bando, Kodi ya chumba, ama hata mnatoa k kwa mkopo. Hawa hawana thamani
 
Si unaonaga Kuna wanawake wanahongwa majumba, magari ya kifahari na wanafunguliwa mabiashara makubwa? Hawa Wana thamani .

Halafu Kuna akina nyie mnahongwa buku, chips, bando, Kodi ya chumba, ama hata mnatoa k kwa mkopo. Hawa hawana thamani
ata io buku tunahongwa sasa,, hehehe kajala alihongwa range kumbe alikua bikira😁😁,,unapotoa hoja hakikisha una mifano yenye akili sio kukurupuka tu.

Vip we umeoa au utakuja kuoa bikira ukamhonga ayo mavituzzzz au ni katka kuchangia hoja.
 
Si unaonaga Kuna wanawake wanahongwa majumba, magari ya kifahari na wanafunguliwa mabiashara makubwa? Hawa Wana thamani .

Halafu Kuna akina nyie mnahongwa buku, chips, bando, Kodi ya chumba, ama hata mnatoa k kwa mkopo. Hawa hawana thamani
afu niltaka kusahau mkuu,, uthamani wa bikira waliujua wanaume wa zaman yaani baba zetu ila sio nyie vingwendu😂😂 wasasa.
Naeza sema nkutunzie mume mtarajiwa io bikira ika ukija kuniweka ndani sasa, unaenda nje uko kukamua rojo lako kwa mwanamke asiyekua bikira,kwa kigezo cha kua mie bikira mshamba wa mapenz 😌😌.
 
Kwaiyo kutakua kunawatu kwaajili ya kuangalia iyo papuchi Kama kweli bikira au sio bikira je hao watu au mashahidi watakua wakike na wakiume wa kuchunguli papuchi mbalimbali za mabinti
 
ata io buku tunahongwa sasa,, hehehe kajala alihongwa range kumbe alikua bikira😁😁,,unapotoa hoja hakikisha una mifano yenye akili sio kukurupuka tu.
Achana na maigizo ya akina kajala. Hilo range uliliona? Bikra Ina thamani, soma hapa chini.

Screenshot_20240519-201648.png
 
Amka utajikojolea mkuu


Achana na maigizo ya akina kajala. Hilo range uliliona? Bikra Ina thamani, soma hapa chini.

View attachment 2994346
Hiyo ni huko Sudan na pia ni kwa vile huyo mrembo ni almaarufu. Niambia ni mabkira wangapi ambao wameshawahi kupewa hizo zawadi? Tunaona wanaozawadiwa mizawadi ni watu almaarufu ambao hata bikra hawana. Na pia kuwa bikra sio kipimo cha kutulia kwenye ndoa. Halafu hiyo miaka 19 kuna maji wengi tu wana bikra .
 
Tukifanikiwa kuwajenga wasichana wasigawe k kabla ya ndoa itasaidia sana. Tabia ya mtu hujengeka utotoni. Ukubwani siyo rahisi sana kumdanganya mtu.
Hakuna uhusiano kati ya mke mwema na ubikra. Na ukimuoa mwanamke kwasababu ya bikra kuna wakati utafika utamchukia baada ya kumtumia.

Kuna dada alijitunza hadi akafikisha above 25yrs na bado aliyembikiri hakumuoa na hakumtaka twna baada tu ya kumbikiri kwa kutumia nguvu. Sometimes anajutia hata kwanini alijitunza. Wasio na bikra wanapata waume wa maana tena wanatulia na ndoa zao
 
Hakuna uhusiano kati ya mke mwema na ubikra. Na ukimuoa mwanamke kwasababu ya bikra kuna wakati utafika utamchukia baada ya kumtumia.

Kuna dada alijitunza hadi akafikisha above 25yrs na bado aliyembikiri hakumuoa na hakumtaka twna baada tu ya kumbikiri kwa kutumia nguvu. Sometimes anajutia hata kwanini alijitunza. Wasio na bikra wanapata waume wa maana tena wanatulia na ndoa zao
Mimi kaka zangu wa 3 walioa bikra kutoka huko vijijini. Ndoa zao zilivunjika kutokana na vitimbi vya hao mabikra. Wamekuja mjini wamekutana na wajanja wengine na kuonja ladha tofauti. Bikra sio kipimo cha kuwa mke mwema
 
Imesema nilete ushahidi wa thamani ya bikra. Nimekupa. Na wewe leta ushahidi wa thamani ya bwawa (kupoteza bikra kwa kudanga.)
hahahaha,, thamani ya ubikra n kwa wanaume wa zaman waliojitambua sio kwa nyie wasasa😎
 
Thamani ya ubikra ikoje kwanza?
Mungu ndo wa kwanza kuipa ubikra thamani alipoamua kumtumia mwanamke bikra kumleta Yesu duniani.

Maana yake Mungu altona wanawake wasio bikra ni wachafu kinafsi na kiroho na hawawezi ruhusiwa kumleta Yesu duniani.

Kama Superpower kama Mungu anaithamini ubikra , kwanini sisi tusiithamini?
 
Mimi kaka zangu wa 3 walioa bikra kutoka huko vijijini. Ndoa zao zilivunjika kutokana na vitimbi vya hao mabikra. Wamekuja mjini wamekutana na wajanja wengine na kuonja ladha tofauti. Bikra sio kipimo cha kuwa mke mwema
Kuwainua wasio bikra ni kuhalalisha uasherati kabla ya ndoa. Lazima wajue consequences ili wawafundishe watoto wao wa kike uthamani wake.
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Back
Top Bottom