Engager
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 1,522
- 3,255
Iliwahi kunitokea mimi pia. Zamani hizo hapahapa JF niliandika nataka mtoto wa kufanya nae mambo ya kikubwa tu. No serious relation.
Dada mmoja akanisakua kwenye mawasiliano niliyoweka. Tukabadilishana phone no. Tukaanza kuchati. Nilikuwa chuo kipindi hiko. Ikatokea nae kumbe alikuwa chuo cha kati mkoa uleule niliokuwa mimi.
Tulichati visiku kadhaa kwa mahaba yote. Hatimaye siku ya siku ikampendeza mola tukutane.
Nilipanda gari hadi kwenye chuo alichokuwa anasoma. Njiani tulivokuwa tunawasiliana alionekana yupo very exited kuniona, ila nilivofika duh!.
Sawa hakunichana, ila unaona tu kabisa mtu huyu kakutana na mtu ambaye hakumtarajia. Tulipiga story mbili tatu mi mwenyewe tu nikaona huu ugeni umeenda ndivyosivyo nikaaga nikaondoka.
iLa baadae usiku nilivojaribu ku initiate contact nae ndo akanichana sasa. Kwamba hakutarajia mtu kama mimi ndiye alikuwa anamngoja. So lets end it here na tufanye kama hamna kitu kimetokea.
Kutokana na haya ma sosho media, juzijuzi nimemfuma anatangaza biashara yake Facebook. Si unajua tena wadada siku hizi na tubiashara biashara. Kaweka na namba yake Tena yupo mkoa huu huu ninaoishi. Sijapata tu muda, ila i hope ntamtimbia siku moja japo tukapige tu story.
Dada mmoja akanisakua kwenye mawasiliano niliyoweka. Tukabadilishana phone no. Tukaanza kuchati. Nilikuwa chuo kipindi hiko. Ikatokea nae kumbe alikuwa chuo cha kati mkoa uleule niliokuwa mimi.
Tulichati visiku kadhaa kwa mahaba yote. Hatimaye siku ya siku ikampendeza mola tukutane.
Nilipanda gari hadi kwenye chuo alichokuwa anasoma. Njiani tulivokuwa tunawasiliana alionekana yupo very exited kuniona, ila nilivofika duh!.
Sawa hakunichana, ila unaona tu kabisa mtu huyu kakutana na mtu ambaye hakumtarajia. Tulipiga story mbili tatu mi mwenyewe tu nikaona huu ugeni umeenda ndivyosivyo nikaaga nikaondoka.
iLa baadae usiku nilivojaribu ku initiate contact nae ndo akanichana sasa. Kwamba hakutarajia mtu kama mimi ndiye alikuwa anamngoja. So lets end it here na tufanye kama hamna kitu kimetokea.
Kutokana na haya ma sosho media, juzijuzi nimemfuma anatangaza biashara yake Facebook. Si unajua tena wadada siku hizi na tubiashara biashara. Kaweka na namba yake Tena yupo mkoa huu huu ninaoishi. Sijapata tu muda, ila i hope ntamtimbia siku moja japo tukapige tu story.