Ilikuwaje ukalala na mke wa mtu?


"Ebu geuka fala wewe haukusikia mke wa mtu sumu"
 
Wanawake wanaficha uchafu mwingi kuliko hata sisi wanaume.
Kumbuka wao wanawindwa hasa na wenye visu vikali
 
Wanawake walio kwenye ndoa wanastress sanaa.
 
Alimfuata mumewe. Jamaa yangu kijiweni kwa mangi akamkuta jamaa America. Akachukua kinywaji chake akamalizia. Baada ya hapo akaniachia namba ya simu kwamba jamaa akiamka nimcheki aje amfuate. Baada ya pale mawasiliano yakaendelea . Mzee akasafiri nikaotwa nyumbani. Namkuta qmevaa kinguo kifupiiii. Usiku. Akaniambia nikalete baba kubwa na safar mbili tunywe Mama weeeee
 
Maisha ya Ubachela bhana, nimepanga zangu Kinondoni nyumba niliyokuwa naishi mimi pekee ndiye niliyekuwa sina mke, siku moja nimeamka Alfajiri kuwahi mishe zangu kariakoo kuchukua mzigo ile natoka ndani kwenda nje kupiga mswaki alfajiri namkuta mke wa jirani yangu anafagia uwanja mumewe ni dereva wa malori ya kwenda nje huko, mwamba nimepiga taulo kitu kipo kwenye hewa dada wa watu Ana Upwiru sijui wa mwezi kajifunga kitenge tu kifuani dah yaani sikupata tabu, niliongea neno moja tu vp shem choma ndani upate cha asubuhi, nilikula mbususu Acha tu baada ya mwezi nilihama kuogopa kutafunwa mimi πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…