Confession
JF-Expert Member
- Mar 30, 2019
- 669
- 2,309
Mwali nae kuweza ya kuyajua anayajua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nimesema nakula wake za watu?Na wewe pia acha kula wake za watu. Mbona ni simple sana
Hatar sana! Vitu kama vile mitaaani vipo sana sema wale majamaa walizingua kutumia vitisho na kurekodi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kutishiwa kupigwa chupa za safari lager. Lol
Kuna jamaa mmoja( lile kabila bahili kabisa) alikua anafanya biashara ya mbao kitaani,
Za chini chini zikaanza kuenea kuwa jamaa anamtafuna mke wa rafiki yake ambaye pia ni mfanyabiashara wa mbao
Basi jamaa mwenye mke aliandaa safari ya mtego kuwa anafata mbao porini huko atakaa kama wiki mbili hivi
Huku nyuma tena siku ile ile jamaa likaenda kwa jamaa kula uroda , wapambe walikua kazini wakamtonya jamaa akaja chapu na mabaunsa wako full equiped na futa mgando
Inasemekana walikua mabaunsa watatu ,walimchimba choo jamaa sanaa mpaka chumba chote kikajaa nnya tu,
Alafu wakamuachia jamaa kwa aibu hakuripoti akakimbilia kwao kama miaka mitatu hivu baadae akarudi . FUNZO habari mbaya haiishi kabisa mana aliporudi tu stori zikaanza upyaaaa hata ambao walihamia mtaani wakapewa habari alitafunwa trako yule jamaa
Kwa sonona alijinyonga baada ya miaka mitatu ya tukio.
Nyie mnaokula wake za watu mnaamini wenzenu waliofumaniwa ni wajinga na hawana mbinu ila yakiwafika mtaomba Mungu na miungu yote
Haha utatekwa shauri zakoMwali nae kuweza ya kuyajua anayajua
Bonge la funzo ila vijana wanajifanya wacheza pono maarufuKuna jamaa mmoja( lile kabila bahili kabisa) alikua anafanya biashara ya mbao kitaani...
Hahahaaaaa ukingwi huo sinaHaha utatekwa shauri zako
mambo madogo bro wekama ulitekwa shauri yakoVijana wanapenda kitonga alafu yakiwakuta utasikia MUNGU NISAIDIE
mambo madogo bro wekama ulitekwa shauri yakoVijana wanapenda kitonga alafu yakiwakuta utasikia MUNGU NISAIDIE
Wanawake wanaficha uchafu mwingi kuliko hata sisi wanaume.Kwenye zama hizi za uzinzi na JF iliyosaidia kuondoa stress, kuna mengi. Najua wanawake ni wasiri sana,japo na wao wameangusha train nyingi sana.
Kuna wakati unajikuta umefanya jambo la aibu,kwa tamaa ya muda mfupi. Wapo waliokula kimasihara hata kwa wadada wadogo au single. Je, kwa mke wa mtu, ilikuwaje?
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Inasemekana walikua mabaunsa watatu ,walimchimba choo jamaa sanaa mpaka chumba chote kikajaa nnya tu,