Imeandikwa: Usimuache mwanamke mchawi aishi! Nimeapa kulipiza kwa gharama yoyote

[emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu amesomea sijui ndo udokta, amepata ajira na bado kakabidhiwa ukuu wa idara ya visigino
We acha tu umu jf kuna kira haina ya watu....πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe acha kutuzngua na stori ya kutunga kama ulkua huna mda wa kuaNdka s ungetulia tu vp babu...? Unatafuta umaarufu chief..?
 
Um

Ndio huyo mama nuru ?
Nuru alikuwa ni replacement ya huyo mke wa kisabato. Bahati mbaya Nuru naye kishakuwa replaced, huwa sivumilii ujinga mimi.
 
2011 bajaji Zilikua Zishajaa eeh?? Naomba Mnikumbushe... Nazeeka sasa Kumbukumbu Zinapotea
 
@Bray baba Mkuu endelea basi na story, wataalam wa saikolojia tunasubiri tukupe-ushauri..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…