Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
😂😂 nitakujibu keshoOya jubu meseji zangu. WhatsApp.
Ulinikwaza..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂 nitakujibu keshoOya jubu meseji zangu. WhatsApp.
Situmii iPhone sikuwa najua hili. Huwa nadhani ni utundu wanafanya kumbe ipo settingsWala sio kulipia mkuu.. ni amezima read receipts.
Ukizima inaondoa blue tick, na nikiview status hunioni. View attachment 2774681
WhatsApp used to be simple.
Tunazima banaSitumii iPhone sikuwa najua hili. Huwa nadhani ni utundu wanafanya kumbe ipo settings
Wapiga mizinga ?Lazima atakuwa mwanamke huyo..
Hatari mno ...hapo mnachunwa kama 10 Kwa mpigo
Wewe na jambazi tofauti nini?😅Wala hulipii, unaenda kwenye settings- privacy- read receipts unai turn off
Mbaya hii 😂😂
HahahahahaWatsap inajali Sana kutetea cheaters..wenyewe wanaita privacy policy...
Wanawake ndo wateja wao wakubwa...
Hahahahaha,Wewe na jambazi tofauti nini?😅
Hapana.. hakuna kitu kama hicho kwenye iphone.. ni ile read receipt tu ndio inakua ime turn off kwenye sehemu ya settings ndani ya whatsapp ..Ana iPhone si ndio? Nina mtu mmoja official ana iPhone 14 PM ila ni ghost viewer wa status na hana blue tick akisoma message.
Nikisikia sijui mnalipia watu wa iPhone. Sikufuatilia zaidi
Zile tick aki receive ndo huwa naona tuSidhani…
Ukiwa unamtext mtu, uwanja wa wasap hapo. Unaona last seen, unaweza ona saa 4 asbh, na hapo unamtext ni mchana. Lakini boom kakujibu
Ngozi nyeusi(africans) jinsia "ke"wana mambo haya kwa asilimia kubwaHahahahaha,
Huwa nikiona demu last seen kaiturn off au inasema mida tofauti huwa nasepa haraka Sana 😂Watsap inajali Sana kutetea cheaters..wenyewe wanaita privacy policy...
Wanawake ndo wateja wao wakubwa...
Hahahahaha, janja janja sanaNgozi nyeusi(africans) jinsia "ke"wana mambo haya kwa asilimia kubwa
😂 mtatukimbia mpaka sisi walokoleHuwa nikiona demu last seen kaiturn off au inasema mida tofauti na anakuwa huwa nasepa haraka Sana 😂
Mimi nikiona Tu nimewekwa watsap business account tu...najua hapa ni biashara kumbe..Huwa nikiona demu last seen kaiturn off au inasema mida tofauti na anakuwa huwa nasepa haraka Sana 😂