T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
S
Sijawahi tumia mods za Whatsapp na sijawahi tumia iPhone tangu niione iPhone 11 kipindi imetoka na ikawa ni LCD ndio niliijaribu kwa brother wangu nikaona ni simu ya kawaida. Alikuwa anaisifia sana ghafla nikashangaa ni LCD, later on nikaja kugundua 11 Pro ndio OLED ila nikawa nishaamini iPhone wachelewaji wa tech nyingi.Tunazima bana
Kuondoa zile ooh nakuona online na hujibu sms.. inaboa 😂😂😂