T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Sijawahi tumia mods za Whatsapp na sijawahi tumia iPhone tangu niione iPhone 11 kipindi imetoka na ikawa ni LCD ndio niliijaribu kwa brother wangu nikaona ni simu ya kawaida. Alikuwa anaisifia sana ghafla nikashangaa ni LCD, later on nikaja kugundua 11 Pro ndio OLED ila nikawa nishaamini iPhone wachelewaji wa tech nyingi.Tunazima bana
Kuondoa zile ooh nakuona online na hujibu sms.. inaboa πππ
HahahaaMimi nikiona Tu nimewekwa watsap business account tu...najua hapa ni biashara kumbe..
HahahahaHuwa nikiona demu last seen kaiturn off au inasema mida tofauti na anakuwa huwa nasepa haraka Sana π
Hahahahahaπ mtatukimbia mpaka sisi walokole
Mnaanzaga hivi hivi MTU ukilipuka hata kunena kwa lugha hakuna ππ... Unabaki hivi huyu mbona ana Mambo lukuki hiviπ mtatukimbia mpaka sisi walokole
Hiyo biashara yenyewe sasa...huwa hata sijisumbui nikiona hizo dalili...Mimi nikiona Tu nimewekwa watsap business account tu...najua hapa ni biashara kumbe..
HahahahahaMnaanzaga hivi hivi MTU ukilipuka hata kunena kwa lugha hakuna ππ... Unabaki hivi huyu mbona ana Mambo lukuki hivi
Huwa unabaki nini uone yajayo yanafurahisha ππ[Hahahahaha
Hisia sometime zinasaidia Sana Tu...akili sometime kwa mambo kama haya ni kupoteza muda Tu.Tuliza presha Kaka,,,na jitahidi uamue Kwa akili zaidi kuliko matumizi ya hisia zaidi!!
Sio iPhone tu simu zoteUnaturn off nini.
Kwenye settings iPhone ina option ya ghost viewing Whatsapp status na kutokuonyesha blue tick ukisoma message?
Mimi mwenyewe sipendi bluetickWewe na jambazi tofauti nini?π
Unaturn off nini.
Kwenye settings iPhone ina option ya ghost viewing Whatsapp status na kutokuonyesha blue tick ukisoma message?
Uko na kisirani that's why..π€£Mimi mwenyewe sipendi bluetick
Wala hataUko na kisirani that's why..π€£
Aloooh!! Mbona umetukomalia hivi π€£π€£π€£πWatsap inajali Sana kutetea cheaters..wenyewe wanaita privacy policy...
Wanawake ndo wateja wao wakubwa...
Labda nikuulize ushawahi kukopesha watu fedha ? Sio fedha tu bali fedha amount kuanzia M+ ivi ila isivuke 20M ishia 15 M ...sasa mdeni wangu lzm nimfutilie ktk rada zoteUmefikia kiwango kikubwa sana cha kufatilia maisha ya watu
ila kweli man hapo umeweka concrete point lazima nifatilieLabda nikuulize ushawahi kukopesha watu fedha ? Sio fedha tu bali fedha amount kuanzia M+ ivi ila isivuke 20M ishia 15 M ...sasa mdeni wangu lzm nimfutilie ktk rada zote
Mna mambo nyinyi wanawake...
Mimi kuna mtu ninajua ana kifaa ambacho hakisupport un official wasap. Lakini huu mkorogo nimeuona