Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa, maana si kwa maelezo yale.Ushafikiria kuacha kula nyama??
Utaweza kuacha?Kabisa, maana si kwa maelezo yale.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inategemea sahemu ya machinjio....Hapana shaka huyo uliomwona atakuwa Ng’ombe wa wizi...
Teh teh tehDua itasaidia nini?Unafiki mtupu.Huu ni ukatili wa sisi wanadamu tukiuhalalisha kwa kutumia maandiko matakatifu.
Wewe umeahawahi kupigwa shot ya umeme ukaona inavyouma? Unadhani kupigwa shot ya umeme ni sawa na kudondokewa na unyoya au Sufi?Ng'ombe huchinjwa kistaarabu machinjio ya kisasa,kwanza hupigwa shoti ya umeme na kiparalize the huchinjwa bila kutapatapa
Na wewe ndo wale walee...Ukatili haumfanyi mtu kwa 'mwanaume zaidi' au 'jasiri', zaidi zaidi ni kipimo cha ujinga na kukosa ustaarabu / ushenzi.
Nimechinja sana kuku nikiwa kijana, yaani nyumbani ndiyo ilikuwa kazi yangu hiyo. Lakini kuna siku nikiwa na kisu mkononi, nimemkany'aga kuku miguu na mabawa, kulikuwa na kuku wengine wawili watatu wamesimama pembeni wanaanglia kwa mshangao nilichotaka kufanya, nilijikuta tu namwachia yule kuku.
Nilitafakari sana ubinafsi wetu binadamu. Kuku wale tuliowafuga walikuwa wamenizoea sana, yaani pengine walikuwa wananiona kama mungu flani hivi kwao, alafu mwisho wa siku naishia kuwachinja kikatili kabisa.
Kurudi ndani nikaulizwa kuku yuko wapi, nikawaaambia kaniponyoka kakimbia, tuangalie utaratibu mwingine. Watu walinuna kwelikweli lakini maza akasema basi leo haikupangwa kuwa siku ya kuku, na tule mboga za majani.
Toka siku hiyo sijawahi tena kuchinja kuku.
Pole usingeenda kuangaliaNdugu Wana Jamiiforums sikujua Kama ng'ombe anachinjwa kikatili vile.
Alilia Sana
Akatoa haja zote
Mwisho alilia machozi
Macho yakageuka rangi huku machozi yakambubujika kwa uchungu.
Imeniuma Sana naahidi kuwa vegan.
Superbug
Nawafahami vyema, na kumtwanga risasi ya kichwa mtu kama huyo wala sioni shida. Tena nikirudi nyumbani nalala kwa amani kabisa.Na wewe ndo wale walee...
Kuna mwanaume kama wewee hujamkosea wala kumtukana wala kumpigaa ila akikushika lazima akuchinjee tena kwa Panga nyuma ya shingo..
Je..?? Unalijua hiloo...???
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sema munguNadhan siku ukienda labor na kuona jinsi wanavyojifungua wake zetu wakati mwingine kupigwa na manesi ili mtoto atoke nadhani hata **** utaaacha utataka uwe padri
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Aisee,hii commentAlaf unakuta huyu nae ni mtoto wa kiume kwa staili hii kwanini asivae hereni na kusuka na kuona Ni kitu Cha kawaida tu hata kuolewa pia ataona ni jambo dogo
Kisa kumuonea huruma mtongozaji
hahahahaaaNadhan siku ukienda labor na kuona jinsi wanavyojifungua wake zetu wakati mwingine kupigwa na manesi ili mtoto atoke nadhani hata **** utaaacha utataka uwe padri
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app