Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar's man.
Ipo siku utazionea huruma papuchi
Ha ha ha!!Meta mada ni mtoto wa mama wa kudeka ukimwajiri polisi akikutana na kibaka lazima amkimbie kibaka kuogopa makofi ya kibaka
jamaa ameshapata kisingizio hanunui nyama tenaPesa imekuwa ngumu. Watanzania tunatafuta sababu za kukwepa gharama mfano kununua kitoweo cha nyama
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]jamaa ameshapata kisingizio hanunui nyama tena
hata ngogwe na dagaa zina machoziNdugu Wana Jamiiforums sikujua Kama ng'ombe anachinjwa kikatili vile.
Alilia Sana
Akatoa haja zote
Mwisho alilia machozi
Macho yakageuka rangi huku machozi yakambubujika kwa uchungu.
Imeniuma Sana naahidi kuwa vegan.
Superbug
Punda anachinjwa ili iweje? Huyo ni mnyamakazi.Hujawahi kuona nguruwe akichinjwa ,akilia kelele mnasikia Kijiji Cha pili ,ndo maana watu kumwua wanamvizia anapigwa na nyuma ya shoka kwenye uchogo.
Sasa njoo kwa punda ,anapochinjwa huku anajamba.
Kuna mikoa wanachinja na ngozi yake ni bei sana ,ukikamatwa na ngozi yake kazi unayoPunda anachinjwa ili iweje? Huyo ni mnyamakazi.
Kisha Mungu akasema, “Tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; atawale samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kufugwa, dunia yote na viumbe vyote vitambaavyo.” Basi, Mungu akaumba mtu kwa mfano wake; naam, kwa mfano wake Mungu alimuumba. Aliwaumba mwanamume na mwanamke. Mungu akawabariki na kuwaambia, “Zaeni muongezeke, mkaijaze nchi na kuimiliki; muwatawale samaki wa baharini, ndege wa angani, na kila kiumbe hai kitembeacho duniani.”Mwanzo 1:26-28Ndugu Wana Jamiiforums sikujua Kama ng'ombe anachinjwa kikatili vile.
Alilia Sana
Akatoa haja zote
Mwisho alilia machozi
Macho yakageuka rangi huku machozi yakambubujika kwa uchungu.
Imeniuma Sana naahidi kuwa vegan.
Superbug
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dar's man.
Ipo siku utazionea huruma papuchi
Ohoooo!!!We ndio wale mwanamke akianza kulia kidogo tu unaacha kugegeda...kaza roho