Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteeeeeHapo atakuwa anatuonea jamani. Anatakiwa atupe mambo piga mishe kisawa sawa.
Na sio akaze roho tu, kaza mpini hadi tako chozi lisikutishe.
Piga mambo mkuu.
Kuepuka kula red meat ni kitu kizuri kiafya.Ila kuepuka kula nyama kwa sababu ya kumuonea huruma ngombe huu ni ugonjwa wa akiliNdugu Wana Jamiiforums sikujua Kama ng'ombe anachinjwa kikatili vile.
Alilia Sana
Akatoa haja zote
Mwisho alilia machozi
Macho yakageuka rangi huku machozi yakambubujika kwa uchungu.
Imeniuma Sana naahidi kuwa vegan.
Superbug
Hehe wewe ungezaliwa kule mbele ungekuwa surgeon wa kuwatengeneza watu chura ziwe kubwaUpo smart kichwani. Ungezaliwa huko mbele tayari tungekuwa na mwanasayansi mkombozi wa Ng'ombe, Mbuzi na kitimoto.
Hehe wewe ungezaliwa kule mbele ungekuwa surgeon wa kuwatengeneza watu chura ziwe kubwa
Ungana na watu wa kutetea haki za wanyama, wale hawataki mnyama apate mateso ya aina yoyote ile ikiwemo kuchinjwa......wanataka nyama zianze kuoteshwa maabara..Ndugu Wana Jamiiforums sikujua Kama ng'ombe anachinjwa kikatili vile.
Alilia Sana
Akatoa haja zote
Mwisho alilia machozi
Macho yakageuka rangi huku machozi yakambubujika kwa uchungu.
Imeniuma Sana naahidi kuwa vegan.
Superbug
Kwani mimea ukiikata hailii? Au kwa sababu hauoni machozi yake?Ndugu Wana Jamiiforums sikujua Kama ng'ombe anachinjwa kikatili vile.
Alilia Sana
Akatoa haja zote
Mwisho alilia machozi
Macho yakageuka rangi huku machozi yakambubujika kwa uchungu.
Imeniuma Sana naahidi kuwa vegan.
Superbug
Kumbe ni me nilidhan ni keWe ndio wale mwanamke akianza kulia kidogo tu unaacha kugegeda...kaza roho
Umeshawahi kuona magaidi wanavyochinja raiaNdugu Wana Jamiiforums sikujua Kama ng'ombe anachinjwa kikatili vile.
Alilia Sana
Akatoa haja zote
Mwisho alilia machozi
Macho yakageuka rangi huku machozi yakambubujika kwa uchungu.
Imeniuma Sana naahidi kuwa vegan.
Superbug
Kuna uhusiano gani Kati ya ubora wa nyama na damu mkuuHao wachinjaji sio professional kabisa ktk uchinjaji . Uchinjaji upo wa aina mbili; Slaughter by stunning and Slaughter without stunning, hizo ni Major types of Slaughter,japo kuna aina nyingine nyingi.Lkn njia nzuri ya kuchinja ni ile ya Slaughter by stunning, stunning ni kumzimisha mnyama ili asione jinsi unavyomchinja, faida ya kufanya hivyo ni kumsaidia mnyama kufa bila mateso makali,aidha damu huchuruzika vizuri na hivyo kupata nyama iliyo bora.
Sasa ulidhani unapokula nyama yake, yeye bwana au bibi ng'ombe anakuwa ameenda wapi!?Ndugu Wana Jamiiforums sikujua Kama ng'ombe anachinjwa kikatili vile.
Alilia Sana
Akatoa haja zote
Mwisho alilia machozi
Macho yakageuka rangi huku machozi yakambubujika kwa uchungu.
Imeniuma Sana naahidi kuwa vegan.
Superbug