Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
- Thread starter
-
- #61
Asante sana, nimekuelewa kuwa na wanawake wa nje Sina kabisa maana hata simu yangu yupo huru kupokea,Tatizo lako unataka uonyeshe wewe ni mwanaume bora..
We endelea naambo yako, rudi usiku hadi akutafute, ondoa asibuhi na mapema bila hata ratiba, usiwe mtu wa kueleweka.. acha nafasi ya yeye kukuwaza na kujihoji pengine hakuridhishi..
Kuoa haina maana sasa mtaishi maisha mapya, qe endelea na maisha yako ya zamani.. jambo moja tuu, usiwe na wanawake wengi.
Nakwamba ukifanya haja, atakuheshimu.. ila kama upo kwenye ndoa na bado unamkimbiza .. utafeli
24 mkuu, japo anaifikisha mwezi wa 12.Ana miaka mingapi?
Tena, utapata taabu sana na utaichukia ndoa.Kama mwanamke hakuheshimu huyo sio mke wako ni mke wa mwenzio
Piga chini huyo zombieDah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha yangu yote yalikua ya furaha isiyo na kifani, Sina stress za hovyo hovyo naweza kujiamulia kwenda sehemu yoyote bila
Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.
Mkuu, miaka ya nyuma mzee mwenye nyumba alikuja kuangalia Mpira usiku saa 1:30 Mimi Nina Dstv yeye yuko na Azam kosa alilofanya alikuja na kijana mwingine wa mtaani Hapo (Mimi simjui) nikamtimua mzee nikamwambia usiku Huu nahitaji kupumzika alafu siwezi ruhusu wageni kwangu usiku nisiowajua, hakuamini ndivyo ilivyo maana hata muda wakiwa wananisema sipo, Sina namba ya mzee mwenye nyumba Wala mtu yoyote , mtu ndani ya Mwezi ana namba za Mama mwenye nyumba, watoto wake Majirani hapa nawaza sijui nifanyaje.Hata mimi sipendi sehemu nimekaa nimeji brand kwa namna ninayotaka mimi nionekane halafu aje mtu aharibu.
Kuna sehemu nilikuwa naishi (nilihama baada ya hili tukio). Nikawa nina uhitaji wa msichana wa kazi ila akawa hajapatikana. Basi kuna cousin wangu akaja kunisaidia kidogo before aende chuo.
Aisee ndani ya siku kadhaa ameshaanika kila kitu kuhusu mimi nakwambia. Anafunguka hadi ambavyo hatakiwi kufunguka.
Na watu wanavyopenda umbea na kujua ya watu basi walimpenda kinoma yaani.
Yaani mimi naishi zangu mjini nime jibraaaaand hata kama nilikuwa nafake ila ilinipa heshima halafu kaja mtu siku mbili anafunguka kila kitu.
Nilimaimd sana alivyoondoka nikahama.
Mkuu mimi nipo upande wako kama hajirekebishi timua. Mtu wa kujitsngaza tangaza kwa watu wasiomsaidia chochote hana maana.
Shukrani mkuu nimekuelewa, Sema ninachokiona ni akili ya mwanamke Mwenyewe maana wengine wakianza mazoea saana ndio mwanzo wa kuangamia.Hayo ni mambo ya kawaida mkuu.
Binafsi ni mkimya mpaka nimzoee mtu sana so hiyo part ya kusocialize nimemuachia huyu mama hapa.
Kusocialize ni muhimu sana katika jamii hizi zetu za kiafrika else utakosana na hao wananchi bila sababu.
Hata kama hupendi kuwa na watu lazimisha tu kucheka nao na kupiga stori mbili tatu mradi ukae nao kwa amani.
Mimi Huwa kwenye sikukuu nachinja nagawa nyama kwa majirani we are in good terms.
Na huyu mama namuachia hicho kitengo cha kuwa karibu na jamii napiga mishe nyingine.
Kweli kabisa 100%Umekubali kuwa mtumwa vumilia tu,
Ndoa za Sasa ni sehemu ya utumwa kwa mwanaume!
Sanaa aisee hapo kwenye kurogwa dah Kuna jamaa alimpa mimba Binti alafu akaikataa jamaa kwao Tanga na Binti ni WA Tanga....alidisco engineering....ni smart kichwani ila majanga aliyonayo...analewa mpaka analala sokoni....wazazi WA yule Binti ni majirani wao kule Tanga...wanazungumza tu aje afate mwanae....lasivyo Bado sana hapo...Jamaa ameshakula sasa amemkinai mapema hapa anatafuta tu sababu ya kuingia mitini.
Ila nawatahadharisha tu mtindo wa kuchezea mabinti za watu na kuwakimbia mkumbuke kuna kurogwa, ni vitu nimeshuhudia kwa macho yangu sikuhadithiwa.
Nimesoma title tu nimecheka balaaDah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha yangu yote yalikua ya furaha isiyo na kifani, Sina stress za hovyo hovyo naweza kujiamulia kwenda sehemu yoyote bila
Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.
shukrani ilo ndio Huwa nalifanya, salary ikiingia namkatia kipande kikubwa na nilimwambia hata kama hesabu zikigoma asisite kuniambia.Huna adabu.
Eti ukinunua nyama, nyama kitu gani. Mpe mkeo hela ya mwezi mzima yeye ndio aamue mle nyama au tembele.
Acha uchoyo dogo. Wewe ndio mchoyo mpaka unaingilia Mambo ya jikoni.
Jikoni Ni sehemu ya kina mama kujidai. Usiingilie Mambo ya huko kabisa.
Doctor hii itakuwa ni chai bila Shaka.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mi niliamka kwenda kwenye mazoezi asubuhi kurudi nikakuta mtu keshamaliza kupaki na mabegi tayari tayari. Nauliza kulikoni mwenzangu mbona ghafla au kuna msiba home? Kimyaaa!
Wala sikuuliza ila niliita bajaji chap ili imuwahishe Mbezi kwa Magufuli. Wiki ya tatu sasa hata sijui kama alifika salama ama la! [emoji706][emoji706][emoji706]