Imetimia mwezi mmoja sasa tokea nimeanza kukaa na Mwanamke, natamani nimtimue

Kumbe huyo Kwa avatar yako sio wewe mkuu? Maana nikiangalia hio yako apo sipat kabisa connection ya ukimya
 
Mwanamkee muongeaji,mcheshii anaezoeana na watu kwa haraka kuliwa nikawaida sanaa piaga chini utakuja kunishukuruu tena kama ndio mnamwenzi sikufichii hapo mtaani kashaliwa sema wewe hujuii unachorwa tuu naukimfungulia ofisi ndiounakua umemfungulia gest ndogo ya chap chap usirudi nyuma piga chinii utakuja kunishukuruu
 
Kuna tatizo hapa. Maamuzi ni yako, siyo yetu.
 
Si bora wewe,mimi nilikaa miaka 6,naishi peke yangu kwenye kibanda changu yombo temeke.
Jinsia ya kike waliokuwa wamewahi ingia ndani kwangu ni mama na dada zangu tu,tena mara chache sana.Mitaa hiyo kuna uswahili wa kufa mtu na wengi ni jobless.
Mimi natoka saa 12 asubuhi,kurudi 12 jioni,salam kwa majirani,basi imeisha,hata jina langu hawalijui.
Siku nilipooa,nimekaa mwezi mmoja,niliwahi kurudi home,c unajua mke mpya,nashangaa makelele ndani ya nyumba,nilistuka sana.Kumbe kilikuwa kikao cha kichagua sare na fundi cherehani alikuwepo,kidogo nizimie kwa mshangao,,,,ingawa waliniona dirishani wakakimbia kupitia mlango wa nyuma.
Niliuza nyumba nikajenga nje ya mji.
 
mke wangu ukimpa he ya siku 30,baada ya wiki 2 anakwambia imeisha,mara kamsaidia mtu,sadaka kanisani,mara kanunua sahani za udongo,,,ni shida..
 
Mke Ana miaka 24 ,afu umekaa nae kwenye mahusiano hapo kabla kwa miaka 5 ,inamaana mlianza kuchumbiana akiwa na miaka 19 🤔?

Au ni ndio sijaelewa mkuu
Cha ajabu kipi hapo? Rais Samia Hassan aliolewa na miaka 18. Usiingizwe kingi na mabeberu huo ndio umri mzuri sana wa binti kuolewa kwa watu wenye malengo hayo (miaka 18 ~ 22) nje ya hapo utakuwa umelamba galasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…