Imetimia mwezi mmoja sasa tokea nimeanza kukaa na Mwanamke, natamani nimtimue

Imetimia mwezi mmoja sasa tokea nimeanza kukaa na Mwanamke, natamani nimtimue

Una principles kama yangu mimi na majirani ni salamu tu amna neno zaidi hii kitu ime fanya wani ogope flani hivi hawaji waji tu kuni gongea sijui Bill ya maji sijui umeme wana kuja kwa step kuna mda hadi land lord mwenyewe ndo ana nicheki kulipia....
 
Tatizo ulishamla sana. Pia ulishazoea ukitaka unagonga kwahiyo hakukuwa na haja ya kuoa. Pia wewe una chembechembe za ubinafsi, upumbavu na roho mbaya. Kwa maelezo yako sijaona tatizo la huyo mwanamke. Acha kulazimisha kuishi na huyo binti kama vile ni mateka wako. Huyo ni mtu mzima na ana maamuzi yake na jinsi alivyozoea kuishi na haitawezekana yeye afuate sheria zako zote. Kama hujamwoa kisheria achana naye utasababisha matatizo.
Sawa, shukrani
 
Tatizo ulishamla sana. Pia ulishazoea ukitaka unagonga kwahiyo hakukuwa na haja ya kuoa. Pia wewe una chembechembe za ubinafsi, upumbavu na roho mbaya. Kwa maelezo yako sijaona tatizo la huyo mwanamke. Acha kulazimisha kuishi na huyo binti kama vile ni mateka wako. Huyo ni mtu mzima na ana maamuzi yake na jinsi alivyozoea kuishi na haitawezekana yeye afuate sheria zako zote. Kama hujamwoa kisheria achana naye utasababisha matatizo.
Sawa, shukrani
 
Dah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha yangu yote yalikua ya furaha isiyo na kifani, Sina stress za hovyo hovyo naweza kujiamulia kwenda sehemu yoyote bila stress, mipango yangu Ilikua inaenda sawa kidogo nachokipata najibana nikajikita kununua mashamba, kiufupi maisha yalikua mazuri though nilikua na mchumba mmoja wa muda mrefu kidogo, nikasema nivute niiweke sawa nikatoe mahali baadae kidogo.

Ni mwezi mmoja tu Lakini stress nilizonazo ni kama nimekaa Miaka 70 kwenye ndoa, ogopa Mwanamke mjuaji , kiburi Cha chini chini asiefata maelekezo kichwa changu kinawaka moto vibaya mno Sina furaha tena nimemtimua aondoke amegoma naona hapa Mimi ndio nitimke kimya kimya nimuachie vitu nisepe.

Ninapokaa hapa Nina miaka 5 Sina mazoea na watu kabisa sipendi kuzoeana na siruhusu mtu anizoee zaidi ya salamu (haswa Majirani) Wananiona mkorofi sana kwa sababu ya kutopenda mazoea, alipofika hapa nilimwambia principle yangu huwa sipendi mazoea na watu zaidi ya salamu na vitu vingine vidogo vya ku-socialize Lakini mazoea lazima yawe na mipaka. Ooh ndani ya mwezi ameshajuana na watu mbalimbali Majirani woote wanamfahamu.

Ndani ya Mwezi mmoja tu Majirani wote wanajua identity yake tokea alipozaliwa na mikoa aliyoishi Hapo kabla, kiukweli Sielewi but moyo wangu una hasira sana. Kiukweli sipendi kufungua password ya maisha yangu kabisa tena kwa stranger Lakini huyu yeye akitekenywa tu anafunguka vibaya mno japo tokea amekuja nimeshamwambia Zaidi ya mara 1000 never trust anybody Kila unaemuona mbele yako muone kama threat kwenye maisha yako, Lakini aelewi.


Kwa sehemu mbalimbali nilipopita Kwa nature ya mabinti kama huyu nilienae Ilikua rahisi sana kusex nae bila hata ya kumtongoza kwa sababu unachokifanya ni kutengeneza mazoea tu na trust kwa sababu wamejengwa kuamini watu mapema huwa wanaliwa kizembe tu.
Mmewezaje kukaa na Mwanamke mjuaji? Unalomwambia hafanyi? Wala maelekezo hafati?

Nimeona kwamba katika Maisha watu tupo na character tofauti tofauti, tumezaliwa katika mazingira tofauti tunapokutana ukubwani kimbembe Cha kubadilishana tabia ndio kinaanza unakua mwana saikolojia, sosholojia na filosofia bila kupenda.

Swala jingine namuona kabisa ana chembe chembe za ubinafsi na uchoyo niliwaza nifungue biashara yeye awe msimamizi Lakini nimerudi nyuma na kuhairisha kabisa, unajua uaminifu wa vitu vikubwa uanza na vitu vidogo, Kuna siku tulikua tunataniana nae akasema "ndio maana chakula kikitetengwa unakaaga mpaka Mwisho" ilo jambo lilinifikirisha sana.

Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.
Huna mke hapo kimbia mapema.

Kwani nawewe umekosa wa kuzaa nae ukalea mtoto.
 
Huyo mpe onyo la mwisho. Akiahidi kubadilika hameni hapo mkaanze upya sehemu nyingine.

Halafu mwambie kama ni lazima aongee mambo yake kwa watu atlist aongee mambo yatakayofanya aonekane classic. Ajidai hata hajui miti shamba ya kutibu UTI.
Ukishajiona Wewe ni anti social kama Mungu anekujaria Kujenga basi nenda kajenge kwenye Mimi mipya, kwa Dar mfano Buyuni, Kigamboni, Kerege huko ndio kiboko ya watu waliozoea umbea umbea.
 
Dah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha yangu yote yalikua ya furaha isiyo na kifani, Sina stress za hovyo hovyo naweza kujiamulia kwenda sehemu yoyote bila stress, mipango yangu Ilikua inaenda sawa kidogo nachokipata najibana nikajikita kununua mashamba, kiufupi maisha yalikua mazuri though nilikua na mchumba mmoja wa muda mrefu kidogo, nikasema nivute niiweke sawa nikatoe mahali baadae kidogo.

Ni mwezi mmoja tu Lakini stress nilizonazo ni kama nimekaa Miaka 70 kwenye ndoa, ogopa Mwanamke mjuaji , kiburi Cha chini chini asiefata maelekezo kichwa changu kinawaka moto vibaya mno Sina furaha tena nimemtimua aondoke amegoma naona hapa Mimi ndio nitimke kimya kimya nimuachie vitu nisepe.

Ninapokaa hapa Nina miaka 5 Sina mazoea na watu kabisa sipendi kuzoeana na siruhusu mtu anizoee zaidi ya salamu (haswa Majirani) Wananiona mkorofi sana kwa sababu ya kutopenda mazoea, alipofika hapa nilimwambia principle yangu huwa sipendi mazoea na watu zaidi ya salamu na vitu vingine vidogo vya ku-socialize Lakini mazoea lazima yawe na mipaka. Ooh ndani ya mwezi ameshajuana na watu mbalimbali Majirani woote wanamfahamu.

Ndani ya Mwezi mmoja tu Majirani wote wanajua identity yake tokea alipozaliwa na mikoa aliyoishi Hapo kabla, kiukweli Sielewi but moyo wangu una hasira sana. Kiukweli sipendi kufungua password ya maisha yangu kabisa tena kwa stranger Lakini huyu yeye akitekenywa tu anafunguka vibaya mno japo tokea amekuja nimeshamwambia Zaidi ya mara 1000 never trust anybody Kila unaemuona mbele yako muone kama threat kwenye maisha yako, Lakini aelewi.


Kwa sehemu mbalimbali nilipopita Kwa nature ya mabinti kama huyu nilienae Ilikua rahisi sana kusex nae bila hata ya kumtongoza kwa sababu unachokifanya ni kutengeneza mazoea tu na trust kwa sababu wamejengwa kuamini watu mapema huwa wanaliwa kizembe tu.
Mmewezaje kukaa na Mwanamke mjuaji? Unalomwambia hafanyi? Wala maelekezo hafati?

Nimeona kwamba katika Maisha watu tupo na character tofauti tofauti, tumezaliwa katika mazingira tofauti tunapokutana ukubwani kimbembe Cha kubadilishana tabia ndio kinaanza unakua mwana saikolojia, sosholojia na filosofia bila kupenda.

Swala jingine namuona kabisa ana chembe chembe za ubinafsi na uchoyo niliwaza nifungue biashara yeye awe msimamizi Lakini nimerudi nyuma na kuhairisha kabisa, unajua uaminifu wa vitu vikubwa uanza na vitu vidogo, Kuna siku tulikua tunataniana nae akasema "ndio maana chakula kikitetengwa unakaaga mpaka Mwisho" ilo jambo lilinifikirisha sana.

Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.
Hey bro,pole sana maana matarajio yako yamekwenda ndivyo sivyo but kuishi na mtu inahitaji moyo sanaa..it takes days,weeks,months or even years kwa nyinyi wawili kuwa kitu kimoja.Mahusiano sio marahisi kama watu wanavyochukulia mahusiano yanahitaji moyo tena moyo mgumu.Maana kila mtu ametokea na kukulia mazingira tofauti .Hii tabia ya kuzoeana na kila mtu kweli sio nzuri maana sio watu wote ni wema but pia kuna muda kwenye maisha hupaswi kuwa peke yako peke yako hata ikiwa unahofu maana najua unaogopa mambo yasije yakenda ndivyo sivyo ila ndio maisha na tunaishi nao pia..Mfungulie hata biashara au mpeleke akajifunze chochote ili na yeye awe busy maana kukaa nyumbani pia kunaleta mazoea na upweke pia.Maneno ya kutupiana tupiana kwa wapenzi ni kawaida ila kama umeona mwenzio kakujibu jibu ambalo hujapendezwa nalo kabla ya kuelezea watu kwa nini usimwambie ili ajue amekukosea ili ajirekebishe kuliko kuumia…Kuishi peke yako ndio kuna uhuru ila pia kuishi na mtu kuna faraja yake.
 
Ni chance ndogo sana kukutana na mtuwenye ustaarabu na maisha unayoyapenda wewe mara nyingi unakutana na mtu ambae hamuendani....nafikiri Mungu ana balance tu equilibrium.
Japo Mimi nachoona ukimpenda mtu utamvumilia usipompenda hata AKIPUMUA utaona kero
Masai dada: upo sahihi[emoji1666]
 
Dah wazee, kutokuoa ni Bora kuliko kuoa, nimekaa Miaka mingi ya u-bachelor mpaka age ilipoanza kusonga hivi, maisha yangu yote yalikua ya furaha isiyo na kifani, Sina stress za hovyo hovyo naweza kujiamulia kwenda sehemu yoyote bila stress, mipango yangu Ilikua inaenda sawa kidogo nachokipata najibana nikajikita kununua mashamba, kiufupi maisha yalikua mazuri though nilikua na mchumba mmoja wa muda mrefu kidogo, nikasema nivute niiweke sawa nikatoe mahali baadae kidogo.

Ni mwezi mmoja tu Lakini stress nilizonazo ni kama nimekaa Miaka 70 kwenye ndoa, ogopa Mwanamke mjuaji , kiburi Cha chini chini asiefata maelekezo kichwa changu kinawaka moto vibaya mno Sina furaha tena nimemtimua aondoke amegoma naona hapa Mimi ndio nitimke kimya kimya nimuachie vitu nisepe.

Ninapokaa hapa Nina miaka 5 Sina mazoea na watu kabisa sipendi kuzoeana na siruhusu mtu anizoee zaidi ya salamu (haswa Majirani) Wananiona mkorofi sana kwa sababu ya kutopenda mazoea, alipofika hapa nilimwambia principle yangu huwa sipendi mazoea na watu zaidi ya salamu na vitu vingine vidogo vya ku-socialize Lakini mazoea lazima yawe na mipaka. Ooh ndani ya mwezi ameshajuana na watu mbalimbali Majirani woote wanamfahamu.

Ndani ya Mwezi mmoja tu Majirani wote wanajua identity yake tokea alipozaliwa na mikoa aliyoishi Hapo kabla, kiukweli Sielewi but moyo wangu una hasira sana. Kiukweli sipendi kufungua password ya maisha yangu kabisa tena kwa stranger Lakini huyu yeye akitekenywa tu anafunguka vibaya mno japo tokea amekuja nimeshamwambia Zaidi ya mara 1000 never trust anybody Kila unaemuona mbele yako muone kama threat kwenye maisha yako, Lakini aelewi.


Kwa sehemu mbalimbali nilipopita Kwa nature ya mabinti kama huyu nilienae Ilikua rahisi sana kusex nae bila hata ya kumtongoza kwa sababu unachokifanya ni kutengeneza mazoea tu na trust kwa sababu wamejengwa kuamini watu mapema huwa wanaliwa kizembe tu.
Mmewezaje kukaa na Mwanamke mjuaji? Unalomwambia hafanyi? Wala maelekezo hafati?

Nimeona kwamba katika Maisha watu tupo na character tofauti tofauti, tumezaliwa katika mazingira tofauti tunapokutana ukubwani kimbembe Cha kubadilishana tabia ndio kinaanza unakua mwana saikolojia, sosholojia na filosofia bila kupenda.

Swala jingine namuona kabisa ana chembe chembe za ubinafsi na uchoyo niliwaza nifungue biashara yeye awe msimamizi Lakini nimerudi nyuma na kuhairisha kabisa, unajua uaminifu wa vitu vikubwa uanza na vitu vidogo, Kuna siku tulikua tunataniana nae akasema "ndio maana chakula kikitetengwa unakaaga mpaka Mwisho" ilo jambo lilinifikirisha sana.

Navyoona huko mbeleni kama naenda kupiga mtu vibaya mno.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daah nimecheka kifala yaan
Mwamba ndo kwanza mwezi mmoja anakwambia kichwa kinawaka moto akikaa miezi sita huyu siatavaa chupi kichwani famasiala nini [emoji23][emoji23]
ndoa na iheshime na watu wote
 
Mwanamke unachopaswa kujuwa mwanaume ni kama mtoto kwako umlee yani.
ndo nnachomaanisha, yani ile kitu ya kusema mkae pamoja mtuaje kabla hamjaoana ni kwa mantiki ya ww mwanamke kujua una deal na mtu wa namna gani na uishi nae vipi...
Pia uwe na kumbukumbu/Heshima/kujishusha na mipango la sivyo hamtoboi usitake mtu aseme mara2 jambo asilopenda
 
Hey bro,pole sana maana matarajio yako yamekwenda ndivyo sivyo but kuishi na mtu inahitaji moyo sanaa..it takes days,weeks,months or even years kwa nyinyi wawili kuwa kitu kimoja.Mahusiano sio marahisi kama watu wanavyochukulia mahusiano yanahitaji moyo tena moyo mgumu.Maana kila mtu ametokea na kukulia mazingira tofauti .Hii tabia ya kuzoeana na kila mtu kweli sio nzuri maana sio watu wote ni wema but pia kuna muda kwenye maisha hupaswi kuwa peke yako peke yako hata ikiwa unahofu maana najua unaogopa mambo yasije yakenda ndivyo sivyo ila ndio maisha na tunaishi nao pia..Mfungulie hata biashara au mpeleke akajifunze chochote ili na yeye awe busy maana kukaa nyumbani pia kunaleta mazoea na upweke pia.Maneno ya kutupiana tupiana kwa wapenzi ni kawaida ila kama umeona mwenzio kakujibu jibu ambalo hujapendezwa nalo kabla ya kuelezea watu kwa nini usimwambie ili ajue amekukosea ili ajirekebishe kuliko kuumia…Kuishi peke yako ndio kuna uhuru ila pia kuishi na mtu kuna faraja yake.
Asante sana, binafsi sipendi aondoke Sema ni stress za hapa na pale maana ni jambo jipya hata akili Inapambana pi ku-cope, nimeona nichukue huo ushauri wako wa kumtafutia shughuli ya kufanya, nitampa hiyo kazi Mwenyewe ya kufanya research kwa mazingira tuliyopo anadhani atafanya biashara gani? Itanisaidia pia kujua vingi kwake.
 
Back
Top Bottom