Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa

MPAKA WAPIGA NGOMA NA KINA IDRISA SULTAN WANARAMBA TU ASALI.


KWELI MAMA AMEAMUA KUIFUNGUA NCHI
 
Bado hajakamikisha kusaini mikataba ya KUPIGWA MNADA.
 
Aendelee tujadili katiba na Mbowe amalizie kusalimia huko kwa kitaa
 
Wewe uliyeko hapa nchini umefanya nini cha maana? Acha usukuma gang
 
Wakati mwingine nafikiri marais style za Kikwete na mama Samia huwa wanatamani Tanzania liwe jimbo la Marekani na wao kujiona kama magavana wa jimbo la Tanzania. Ogopa sana kuongozwa na mtu mwenye akili ndogo.
Wewe mwenye akili kubwa upo tu unaongozwa na mwenye akili ndogo. Hapo utajua nani mwenye akili kuwa na nani ana akili ndogo
 
Mwacheni Rais atangaze utalii. Mgaa gaa na upwa hali wali mkavu.

Jifungie wewe ndani uone utakavyoitaabisha familia yako.
 

Mpaka Leo sijaona mantiki ya kuzinduliwa filamu USA bora ingekuwa hata Serengeti au Arusha AICC .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…