Imetosha Rais Samia, rudi Nyumbani sasa

Leo amekutana na baba yake na Rihanna, maskini Tanzania yangu!
 
Kapiga picha na baba yake Rihanna alafu mitandao na media wanaichapisha kama sifa! Kama Rais wetu kapata bahati ya mtende [emoji848]
 
ana bahati amekua rais kwenye nchi ya makobe,,,,,,maeneo kama Gabon huko angekuta ikulu ina watu wengine,,,,vyombo vyake vyote vipo nje
 
Mama alivyosema jipimie , nikakumbuka sekondari siku ya wali na nyama watu walikuwa wanakuja mess na vindoo vya lita 5 kujaza full hajali kuwa kuna wenzake wanaweza kukosa , sasa watu wa aina hio wakija kupata cheo Kwenye Ofisi ya umma inakuwaje ??

Shule niliyosoma alikuwepo prof mkumbo yeye akiwa mwenyekiti wa dormitory.
 
Wiki moja haijafika
 
Ok tuseme uko sahihi, alipinga hizo ziara lakini alikuwa anaua raia wake. Je kipi ni kabaya kati ya ziara na uuaji wa raia wako kisa tu kakupinga?
 
Yeah, kwani kafika hapo kwa kushindana na kushindanishwa? Maisha ni awkward namna hiyo kwamba mnaweza jikuta mnaongozwa na mtu wa ajabu ajabu.
This is very true, ndiyo maana tukajikuta tunaongozwa na mtu kama Jiwe
 
Ndiyo maana bwana yule aliyetuheshimisha alisema" HAPA KAZI TU" asiyefanya kazi na asile. R.I.P JPM
 
Ok tuseme uko sahihi, alipinga hizo ziara lakini alikuwa anaua raia wake. Je kipi ni kabaya kati ya ziara na uuaji wa raia wako kisa tu kakupinga?


Ata wewe unajua hilo swala ni la uongo vifo vilishatolewa maelezo na video zipo za watu waliokamatwa kwa ubebaji haramu.

Halafu mada inazungumzia ‘bi tozo’ kugeuka kiguu na njia kwa shughuli zisizo na lazima.

Kumbuka wazungu ni mabepari kweli kama ziara sio ya mwaliko wao elewa utalindwa kama raisi hilo nijukumu lao kukupa ulinzi. Lakini ukirudi wanakuletea bill ya gharama za ulinzi wao NYPD na LAPD hawana budget ya kumlinda raisi wa Tanzania kwa sababu anataka kuzurura tu marekani; hizo hela mtatoa walipa kodi jumlisha na za walinzi wake aliotoka nao Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…