Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
- Thread starter
- #161
Hawa vijana wa bavicha ni mabingwa wa kujifarijiKwenda zako wewe. Nani anamuwaza????
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa vijana wa bavicha ni mabingwa wa kujifarijiKwenda zako wewe. Nani anamuwaza????
Kama walivyokuwa wanamfariji da'Mange na yale maandamano hewa. Siku hizi da'Mange keshawashtukia kaamua kujikita na mambo mengine kabisaa.
Muanzisha mada Wakudadavuwa pamoja na jiwe bila kukusahau wewe gongolamboto.Kwenda zako wewe. Nani anamuwaza????
Yaani NW hata 360 ikamshinda? Halafu huyo anataka kujadili mambo ya kichwa Lissu?Ile ya 360 ya cloud uliyoshiriki ulifanya mock interview? Kama ndivyo mbona ulirukaruka na kujichekesha kama comedian na hakuna la maana ulilolielezea?
Kamanda jikite kwenye hojaYaani NW hata 360 ikamshinda? Halafu huyo anataka kujadili mambo ya kichwa Lissu?
Labda anasukia raha tuu naye kusema chochote, maana hata akuyemteua ana weweseka
Kabisa,waswahili husema "ukitaka kuruka lazima uagane na nyonga"Tulisema sisi. Kuna mambo waweza fanya ukijua unamkomoa fulani kumbe kiuhalisia unajiharibia mwenyewe. Kweli lissu tatu zimechoropokea pale Dodoma aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamanda jielekeze kwenye hojaMuanzisha mada Wakudadavuwa pamoja na jiwe bila kukusahau wewe gongolamboto.
Naam,mfano hai kabisa huuKama walivyokuwa wanamfariji da'Mange na yale maandamano hewa. Siku hizi da'Mange keshawashtukia kaamua kujikita na mambo mengine kabisaa.
Mnamuogopa lissu eeeNdugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Ulimuombea wewe na nani??Lissu kaona ni rahisi sana kutembelea vyombo vya habari kuliko kutembelea wananchi wa Jimbo lake na watanzania tuliomuombea apone.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unatafuta chako na cha nani???Anatafuta chakula chake na familia yake tu walahi
Hata kama ni nyumbu, Kuwa na adabu ewe nyumbuMnamuogopa lissu eee
Embu jaribuni kupeleka hilo boga lenu hata KBC tuu maana BBC mtaaibika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Lumumba kuna wanaume?Ndugu zangu,
Hayawi hayawi sasa yamekuwa, ushauri wa JF baada ya mahojiano ya BBC umepokelewa japo hatujatangaziwa rasmi.
Kama ilivyokuwa BBC Hard talk mpango wa Tundu Lissu pia harakati zilifanywa kuomba mahojiano na Richard Quest wa CNN na Shaka Ssali wa Voa, hadi sasa habari zisizo rasmi Tundu Lissu hataenda Marekani.
Baada ya kudadisi na kautafiti nimegundua sababu ni hizi mbili lakini hazijawekwa wazi;
1.) Mapokeo hasi ya mahojiano ya BBC dhidi ya Lissu kutoka kwa watanzania
2.) Akiendelea na ziara atashindwa kujitetea dhidi ya hoja ya Spika wa Bunge kuwa amepona. Hivyo wadau wamemshauri kuwa kuendelea kuzurura kunampunguzia sababu ya kujitetea. Hii inaitwa chezea mshahara usichezee kazi.
Nitazidi kuwajuza kuhusu yatakayojiri hususani suala la maombi ya ukimbizi wa kisiasa kwa ndugu yetu Ansbert Ngurumo.
Kwa wanaopotosha kuwa Quest hafanyi mahojiano na wanasiasa, hapa yupo na Uhuru Kenyatta
5 Things Uhuru Told Richard Quest During Interview [VIDEO]
Mnaleta hoja za kike,jibu ndio au hapana
Kuna kiboko yako anaitwa issisi walahi anafunika brand yako wallahAnatafuta chakula chake na familia yake tu walahi