Lkn mbona lipo wazi km wakati wa jiwe deni pia liliongezeka..Mi sijakasirika,ye angeleta hoja tujadili,lakini kaanza kunitukana..rudia posti juu.. dawa ya moto ni moto,mbona sijakutukana wewe,nikamtukana yeye
Leta takwimu hapa sio porojo tuLkn mbona lipo wazi km wakati wa jiwe deni pia liliongezeka..
We sema tu hutaki aseme hvo manake sijaelewa hapo unachopinga nini?deni kupanda au hzo takwimu zake!![emoji848]
Mwezi wa tatu deni la taifa lilikua tr 55.5 may tr 60.5.habar kutoka kwa mwiguluWe fala kweli Jiwe kaacha deni Tilioni 71 kutoka Tilioni 35 ..Yule mwehu alikuwa muongo na alidhibiti taarifa
Hahahahaaaaa.π€£π€£π€£ππHawa IMF wana data za Askari wa Kinjekitile waliokufa kwenye vita ya Majimaji? Sisi tulitumia Kinjekitile style kujikinga na kutibu Covid.
Mikopo yenye iko kwa sasa ni kwa ajili ya JPM kimya kimya akiwadanganya eti miradi "ni kwa pesa za ndani", watch your budget news uone ni kiasi kipi walikopa, na ujue hii ni serikali ya CCM, propaganda lazima., ukweli hauwezi kuwekwa wazi.JPM akifufuka Leo akakutana na hii mikopo π³
Hawa ni fukara siku zote, nilijua wataumbuliwa tu. π π πHaiya nchi tajiri kumbe mnachukua loan[emoji2297][emoji2297]
Ficha ujinga mjomba, jamaa alikuwa anachukua kimya kimya.Hii mikopo mikopo enzi za jiwe tulishasahau..huyu mama anatuzingua.
Kwetu Tanzania? kwani wewe upo nchi gani mkuu?Kwenu wamekufa wangapi na corona
IMF have revealed that Tanzania tried to ask for emergency loan from them and they were denied the loan until they start publishing covid data.
View attachment 1813837
=======
READ: - IMF: Tanzania lazima iweke wazi takwimu za COVID-19 ili ipate msaada wa dharura
Missing Shujaa wetu. Tumekuwa ombaomba tena. Naona tunakopeshwa kujenga mabarabara vijijini SI MBAYA JE NI PRIORITY YETU KAMA NCHI?Tanzania inahitaji kuweka wazi data ya ueneaji kwa Covid-19 kabla ya kupata idhini ya mkopo wa dharura wa Dola 574 milioni kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa. Maamuzi hayo yanatokana hali ya kutojulikana kwa takwimu halisi za ugonjwa huo tangu Serikali ilipoacha kuziweka wazi Mei mwaka 2020 wakati utawala wa Rais John Magufuli...
Hii mikopo mikopo enzi za jiwe tulishasahau..huyu mama anatuzingua.
Utanimaliza wewe! π€£ π€£ π€£ π€£ π€£Hawa IMF wana data za Askari wa Kinjekitile waliokufa kwenye vita ya Majimaji? Sisi tulitumia Kinjekitile style kujikinga na kutibu Covid.
Kama Marekani na Ufaransa wanakopaga, itakuwa hizi nchi zetu za Afrika? π Ubaya wetu huingia pale tunapotumia mikopo vibaya na inakosa kuleta profits zozote kwa serikali au hata inakuwa nyingi na kusababisha nchi kuwa na deni ju ya deni, miaka na mikaka.Kwani hizi taarifa za deni la taifa kukua kwa kasi ya 4G mlikua mnaziona au hamzioni wenzetu. Kwasababu hauna taarifa nayo haimaanishi haipo. Kwahiyo wewe akili yako inakutuma awamu ya tano haikua ikukopa kwamba wanajenga kwa pesa za ndani.
Like brother, like sister. Oh my, my continent Africa! π π πHadi sasa bi mkubwa ana miezi 3 kashakopa zaidi ya mikopo 8 na miwili tumetolewa nje..huoni hatari hiyo akimaliza miaka 4..!!..yaani mikopo in Kenyatta's way
π¬π¬π"Hawa IMF nawapenda hadi naumwa",alisikika Kamanda Asiyechoka kutoka ufipa.
Atashangaa sana infact atakufa mara ya pili kwa preshaJPM akifufuka Leo akakutana na hii mikopo π³