Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yap lazima takwimu zitoleweAcha tu , mama kujivarisha kote mabarakoa haitoshi kumbe. Wanataka takwimu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap lazima takwimu zitoleweAcha tu , mama kujivarisha kote mabarakoa haitoshi kumbe. Wanataka takwimu😂
Sawa, jifungie ndani na hayo mapapai, haina shidaMapapai mbuzi oil chafu ....
Walianza Kenya kuonyesha takwimu feki, Uganda wakaiga wakapiga hela, kwanini na sisi tusibumbe kuwafurahisha,Waige mwenzao wa Uganda.
Km lengo lao Ni kutesa wananchi wake kwa takwimu feki
Hahahaha kazi iendelee, kitanzi kwa Baadhi ya watu.Tanzania inahitaji kuweka wazi data ya ueneaji kwa Covid-19 kabla ya kupata idhini ya mkopo wa dharura wa Dola 574 milioni kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa. Maamuzi hayo yanatokana hali ya kutojulikana kwa takwimu halisi za ugonjwa huo tangu Serikali ilipoacha Mei mwaka jana wakati utawala wa Rais John Magufuli
It was unnecessary.Sasa naelewa mbona viongozi wa Tanzania wameanza kuvaa barakoa despite the fact that Corona was in Tanzania.
Ongea kwa sauti kubwa mkuu wakusikieUkikubali kuolewa sharti ulale bila chupi!!!!!!. Sisi tuna Elimu lkn hatuna akili. Madini, gesi maziwa utalii lkn bado sisi ni omba omba. W.H.O hawawezi kumvimbia kifua China kwa sababu China hatembezi bakuli.
Inasikitisha na kuumiza sana kwa kweliNimekuwa nikiongea siku zote ukombozi wa kweli ni kuwa na uchumi imara , hiyo ndio heshima ya nchi , yanayobaki yote ni kelele tu, tuna zaidi ya miaka 60 ya uhuru bado akili zetu zote zinawaza misaada, yaani viongozi wetu na wachumi wetu ni kama bongo zilisha bunguliwa.
Siuende ubelgiji na wewe, sisi tuache na kisiwa chetu shida iko wapiMama tuvushe watanzania kwani hatupo kisiwa,Tumelia sana kwa maamuzi ya utawala wa masikini Jeuri. Usiturudishe Misri, enough is enough tuunganishe na ulimwengu. mama out trust is in you...Regards.
Ni nchi gani imefanikisha kupambana na coronavirusUkiambiwa kuwa UNAUGUA (UNAUMWA) KWA KIASI GANI ILI UPATE MATIBABU,
KWAKO NI TAHARUKI?
Lockdown ina madhara makubwa kuliko msaada huoHapo sasa! Corona Tanzania kwa sasa haipo kinachofuata ni kupika ili visa vipatikane kuwafurahisha wazungu.
Mungu aliisaidia nchi tuko salama hamtaki kukiri,tunaona tu mnavaa mabarakoa huko maofisini wakati wananchi wa kawaida wanaendelea na maisha kama kawaida.
Anzeni kupima na hivyo vipimo hata papai lina corrona ili visa viwe vyingi tuwafurahishe vizuri mabeberu,watuagizo na lockdown kama walivyo fanywa majirani zetu.
Maana hofu ya corona ilitoweka hamuoni kuwa ni muhimu kuliko hizo fedha za masimango.
Na waliotumia chanjo bado wanahahaEmergency loan!