The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Aliyekwambia Katiba mpya itazuia mikopo ni nani? Matakwa ya Wananchi ni kama yapi?Katiba mpya itasimamia matakwa ya wananchi kuliko ilivyo Sasa ambapo katiba iliyopo inasimamia uzembe wa kufikiria wa viongozi wetu Kama KILA changamoto wanakimbilia kukopa Mwisho wa siku wataingiza nchi kwenye mdororo wa uchumi kama HUKO ethiopia na srilanka ambapo wananchi wameshindwa kuishi kwa mizigo ya kodi na ugumu wa maisha kutokana na Deni kubwa losilolipika kirahisi!!!
Katiba mpya itazuia walamba asali kupiga fedha za mikopo kama hizo za mafuta ambazo hazina impact Hadi Sasa!!
Naendelea kusisitiza na wino hautokauka kamwe kwamba;-
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe katiba mpya""
Hizo hela wanakopa za kitu gani haieleweki yani, bora Magufuli alifanyia miradi hela japo walikuwa hawamkopi kwa fujo kama sasa ila angezifanyia mambo ya maana sana hizo hela kuliko zinavyoliwa na mchwa waliomzunguka mama Samia.Wa
Walio karibu na Rais Samia, mshaurini kabla hajaingiza nchi kwenye matatizo, apange upya timu yake wa Fedha na Mipango. Wizara ya Fedha haitaki kusumbuka na hawatumii akili kabisa, ikitaka pesa inakimbilia kukopa na Rais wetu anakubali haraka haraka. Hii kasi ya mkopo italeta shida. Rais aangalie nyuma.
Kuna shida, tena shida kubwa sana. Mikopo inaongezeka kwa kasi na matumizi ya serikali kwa vitu vya anasa nayo yanaongezeka. Rais ashtuke, wanampoteza na mambo yakiharibika watamgeuka kimoja.Hizo hela wanakopa za kitu gani haieleweki yani, bora Magufuli alifanyia miradi hela japo walikuwa hawamkopi kwa fujo kama sasa ila angezifanyia mambo ya maana sana hizo hela kuliko zinavyoliwa na mchwa waliomzunguka mama Samia.
Raisi kama katiwa ganzi ya akili, watu wanachezea hio mikopo, wanachezea tozo yani awamu hii kuna watu watatajirika kizembe sana tokana na mfumo dhaifu wa uongozi na hamna mradi wa maana utakaokamilika. Siasa tu zitatawala!Kuna shida, tena shida kubwa sana. Mikopo inaongezeka kwa kasi na matumizi ya serikali kwa vitu vya anasa nayo yanaongezeka. Rais ashtuke, wanampoteza na mambo yakiharibika watamgeuka kimoja.
Dah, huo mshiko ungepatikana wote kwa pamoja tukautupia pale Bagamoyo Port hakika tusingejuta!Bodi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeridhia Mkopo wa Dola za Marekani Bilioni 1.046 (Takriban Tsh. 2,422,536,000,000) kwa Tanzania katika kipindi cha miezi 40 kusaidia kukabiliana na athari za vita ya Urusi na Ukraine. Kiasi cha Dola za Marekani Milioni 151.7 kitatolewa mara moja.
Taarifa ya IMF inaeleza kuwa, vita hiyo inakwamisha Uchumi wa Tanzania kuimarika kufuatia mlipuko wa COVID-19, hivyo kuleta changamoto zaidi katika Maendeleo.
Tanzania ilishapokea Mkopo wa Dola Milioni 567 mwishoni mwa 2021 ili kukidhi mahitaji yake ya dharura wakati Mlipuko wa Virusi vya Corona ulipoathiri Maendeleo ya Kiuchumi, hususan Sekta ya Utalii kwa kiasi kikubwa
=========
The International Monetary Fund said Monday it has granted Tanzania a $1.046-billion loan over 40 months, primarily to help the country cope with the consequences of the war in Ukraine.
"Spillovers from the war in Ukraine are stalling the Tanzanian economy's gradual recovery from the Covid-19 pandemic, exacerbating the country's development and reform challenges to unleash its economic potential," the IMF said in a statement.
As a result, the fund's experts believe that the African country will need help to carry out reforms and "unleash its economic potential."
Tanzania is to immediately receive the equivalent of $151.7 million. It had already received a loan of $567 million at the end of 2021 to meet its most urgent needs, when the Covid-19 pandemic had severely hampered its economic development, particularly in the tourism sector.
The war in Ukraine has caused food and fuel prices to soar worldwide, and the rise in wheat prices is "particularly worrying," said the IMF in a recent report entitled "A new shock and little room for maneuver," because sub-Saharan Africa imports 85 percent of its cereal consumption, with particularly high amounts going to Tanzania, Ivory Coast, Senegal and Mozambique.
The project that was announced on Monday, which is part of the Extended Credit Facility (ECF), should help finance reforms to improve Tanzania's financial stability, carry out public investments and support the private sector.
"Recognizing Tanzania's strong track record in reform implementation, directors supported the authorities' requests for an ECF arrangement to meet pressing financing needs," said Bo Li, an IMF official quoted in the statement.
Among other objectives, he also mentioned the importance of continuing vaccination campaigns on a larger scale
Source >>> IMF greenlights $1 bn loan to Tanzania
Nyie ndio mlisababisha tuitwe shithole kantri.Safi sana, pesa nyingine inakuja kwa ajili ya miradi kama ile ya uviko 19..
Mama alisema wamalize haraka miradi pesa nyingine nyingi inakuja..
Ila nao wanazingua badala watoe zote wao wanasema Kwa miezi 40 sasa ndio nini?
How?Nyie ndio mlisababisha tuitwe shithole kantri.
HahahaaaaaZitaimarisha mizizi ya baadhi ya familia
Safi sana, pesa nyingine inakuja kwa ajili ya miradi kama ile ya uviko 19..
Mama alisema wamalize haraka miradi pesa nyingine nyingi inakuja..
Ila nao wanazingua badala watoe zote wao wanasema Kwa miezi 40 sasa ndio nini?
Yaani kwenye mkopo wa dollar billion wanatumegea kwanza million 150+ haijakaa vizurii
Huna aibu unalilia kuomba omba mikopo badala ya kutumia rasilimali za nchi kujenga uchumi?Wamenikera, sema shida huwa wanatoa pesa kwa kuangalia matokeo ya kile walichotoa awali..
Ingekuwa ni emergency wangetoa zote kama za uviko 19.
Acha nongwaaa hii nchi tulishadaiwa kwa nguvu toka tumeanza kukopa...?Tufahamu tu hizo ni pesa za mkopo tena zina msururu wa masharti kutoka kwa wakopeshaji, hivyo tutapaswa kuzilipa kwa faida na kufuata masharti yao.
Swali linakuja.
1. Tutazilipaje?
2. Zina masharti gani?
Mikopo sio msaada bali ni pesa inatakiwa kurudishwa wewe fala..Huna aibu unalilia kuomba omba mikopo badala ya kutumia rasilimali za nchi kujenga uchumi?
Hizi akili sijui za aina gani katika taifa?
Ingekuwa awamu ya Tano ingekuwa ni Siri kabisa,Bodi ya Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeridhia Mkopo wa Dola za Marekani Bilioni 1.046 (Takriban Tsh. 2,422,536,000,000) kwa Tanzania katika kipindi cha miezi 40 kusaidia kukabiliana na athari za vita ya Urusi na Ukraine. Kiasi cha Dola za Marekani Milioni 151.7 kitatolewa mara moja.
Taarifa ya IMF inaeleza kuwa, vita hiyo inakwamisha Uchumi wa Tanzania kuimarika kufuatia mlipuko wa COVID-19, hivyo kuleta changamoto zaidi katika Maendeleo.
Tanzania ilishapokea Mkopo wa Dola Milioni 567 mwishoni mwa 2021 ili kukidhi mahitaji yake ya dharura wakati Mlipuko wa Virusi vya Corona ulipoathiri Maendeleo ya Kiuchumi, hususan Sekta ya Utalii kwa kiasi kikubwa
=========
The International Monetary Fund said Monday it has granted Tanzania a $1.046-billion loan over 40 months, primarily to help the country cope with the consequences of the war in Ukraine.
"Spillovers from the war in Ukraine are stalling the Tanzanian economy's gradual recovery from the Covid-19 pandemic, exacerbating the country's development and reform challenges to unleash its economic potential," the IMF said in a statement.
As a result, the fund's experts believe that the African country will need help to carry out reforms and "unleash its economic potential."
Tanzania is to immediately receive the equivalent of $151.7 million. It had already received a loan of $567 million at the end of 2021 to meet its most urgent needs, when the Covid-19 pandemic had severely hampered its economic development, particularly in the tourism sector.
The war in Ukraine has caused food and fuel prices to soar worldwide, and the rise in wheat prices is "particularly worrying," said the IMF in a recent report entitled "A new shock and little room for maneuver," because sub-Saharan Africa imports 85 percent of its cereal consumption, with particularly high amounts going to Tanzania, Ivory Coast, Senegal and Mozambique.
The project that was announced on Monday, which is part of the Extended Credit Facility (ECF), should help finance reforms to improve Tanzania's financial stability, carry out public investments and support the private sector.
"Recognizing Tanzania's strong track record in reform implementation, directors supported the authorities' requests for an ECF arrangement to meet pressing financing needs," said Bo Li, an IMF official quoted in the statement.
Among other objectives, he also mentioned the importance of continuing vaccination campaigns on a larger scale
Source >>> IMF greenlights $1 bn loan to Tanzania
Matahira hayo!Mikopo sio msaada bali ni pesa inatakiwa kurudishwa wewe fala..
Kama Nchi unataka kuendelea lazima ulilie mkopo Ili ikuwezeshe kujenga Uchumi fasta..
Shida wewe ni mburula hujui kitu.
Yaan watu wamlilie ndugai!!? Mna masihala nyie matahiraIpo siku tutamkumbuka na kumlilia Ndugai.
Pesa za tozo zinafanyakazi gani?