Ina maana Mbowe hana wahasibu na washauri wa kodi katika kampuni zake? Tusiichafue TRA kwa faida binafsi za kisiasa!

Ina maana Mbowe hana wahasibu na washauri wa kodi katika kampuni zake? Tusiichafue TRA kwa faida binafsi za kisiasa!

Wewe umeamini?

Hizo ni siasa nyepesi!

Mimi siyo Bavicha wa kudanganywa kibwege bwege.

Mbowe anamiliki kampuni siyo genge la nyanya na TRA siyo mapoyoyo kama Bavicha mnavyofikiria!
Now you are assuming things,aren't you?

Unafikiri ungekuwa wewe ndio sisi tunaokusoma hapa na akili timamu,ungemuamini nani kati ya mtu mmoja public figure aliyesimama na confidence mbele ya nchi nzima akijizungumzia jambo linalomhusu yeye mwenyewe direct na kutoa malalamiko yake juu ya taasisi nyeti nchini akijua all the consequences NA WEWE usiyejulikana uliyejificha nyuma ya keyboard hapa ukizungumza lolote utakalo and nobody can reach you easily ili akuwajibishe na unachoandika?!

Im done with you.
 
Now you are assuming things,isnt it?

Unafikiri ungekuwa wewe ndio sisi tunaokusoma hapa na akili timamu,ungemuamini nani kati ya mtu mmoja public figure aliyesimama na confidence mbele ya nchi nzima akijizungumzia jambo linalomhusu yeye mwenyewe direct na kutoa malalamiko yake juu ya taasisi nyeti nchini akijua all the consequences NA WEWE usiyejulikana uliyejificha nyuma ya keyboard hapa ukizungumza lolote utakalo and nobody can reach you easily ili akuwajibishe na unachoandika?!

Im done with you.
Mbowe ni mwanasiasa hivyo kudanganya ni sehemu ya majukumu yake.

Wanasiasa wanadanganya msikitini itakuwa huyu aliyeongea na online tv za akina Millard Ayo?!!

Ni mjinga tu atakayeamini mfanyabiashara mkongwe na mzoefu kama Mbowe tokea akiwa karani kwenye biashara za baba yake anaweza kutumiwa assessment kwa e mail binafsi na akina Swai waliojazana TRA!
 
Magufuli (aka TRA) alituma notification kwenye private address ya Mbowe kwa makusudi ili asiwepo mwingine wa kupata taarifa halafu wapate kigezo cha kumfilisi na kuiua Chadema. Na walituma kwenye private email ya Mbowe si kwamba hawana company official email - NO - bali ni ushenzi tu wao ambao hadi ukamkasirisha Mungu akaamua kuawawaisha kaburini kuondoa udhia kwa waja wake!
TRA waliipata wap private email ya Mbowe, kama siyo yeye aliitoa kama business contact. Nawashangaa hao wanaosema SSH kasema hili kaema lile. Ukweli ni kuwa yale ya SSH ni siasa na hayawezi kufanyiwa kazi nje ya sheria. Mbowe atalia, ataelekezwa TRA, au kumfurahisha atapigiwa mkuu wa TRA na kuambiwa amshughulike mheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA. Mkuu atamuagiza aliye chini yakle kumshughulikia. Atayeshughulika atafanya kazi tena kwa uangalifu wa juu. Ataangalia sheria na atakokotoa na usijeona ajabu akakutwa anadaiwa zaidi. Rais hawezi kuwambia wamkate kodi kidogo kuliko sheria inavyosema. Ninyi ngojeni tu! Mnashangilia lakini TRA hawanyi kazi hewani. Wanatumia sheria. Kama kuna nafuu inatafutwa, pelekeni hoja bungeni ya kutuinga sheria ya kupunguza kodi. Kama sivyo, mtakuwa mnadanganywa tu.

Kuna kitu kimoja, watu wengi hawakielewi. Tanzania ina watu wa aina mbili au tatu. Kwanza kuna watu wa pwani. Pili kuna watu wa mjini. Tatu kuna watu wa vijijini. Watu wa pwani huwa wapole, na wajanja katika lugha/Kiswahili. Watu wa pwani hawana lugha ya kulazimisha, na anapoongea usiamini kila anachokisema. Kwa kifupi wana "diplomatic language". Katika kundi hili yupo Kikwete, Mwinyi, na sasa SSH. Watu wa vijini wana lugha ya nguvu na ya kulazimisha. Hawa hutoa maagizo. Katika hili tulikuwa na Nyerere na Magufuli. Wale wa mjni ambao wako katikati tulikuwa naye Mkapa. Saa hivi kuna watu hawajamuelewa SSH. Huyu ni mtu wa pwani na lugha yake ni ya kipwani. Anaposema kitu chunga saana kuchukuliya maana juu juu. She is diplomatic, and you might easily be taken for a ride. Matamshi yake yote, hayana maana ya maagizo. Anayesema haya yote akijuwa masharti yatazingatiwa, yaani sheria itachukuwa mkondo wake. Kwa hiyo furaha bila mabadiliko ya sheria ni kujipa furaha isiyokuwepo.
 
Ninavyofahamu hata mzee Mgaya na lile duka lake la Hardware ana mhasibu na mshauri wa kodi ambaye husimama kama wakili wa maswala yake ya kiuhasibu na kodi.

Ninavyojua ukiwa na kampuni ni lazima uwe na mhasibu na external auditor kwa mujibu wa kanuni na taratibu za TRA.

Freeman Mbowe kuwa jela haimaanishi kwamba biashara zake na maswala yake ya kodi yamesimama.
Na siamini kama Freeman Mbowe huwa anakwenda yeye binafsi TRA kushughulikia maswala ya kodi kama Individual taxpayer kwa sababu biashara zake zimeshavuka level hiyo.

Sisemi kwamba Mbowe hajaonewa bali siyo sawa kulitumia jambo hili kujinufaisha kisiasa, anapaswa aongee kama mfanyabiashara mkubwa.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Utaiteteaje TRA
 
Wasukuma mnatapatapa sana. Mlikuwa mshaona nchi yenu. Polen sana. Enzi za upuuzi zishakwisha!!!!
Msukuma ametoka Wachagga tuanze kazi yetu tunayoijuwa... Alitubana mno, mpaka tukaanza kupoteza uzoefu. Unajuwa tena "without practice you loose skills. And don't forget, practice makes perfect. And you know what, we will take it to another level.
 
Ungeuliza kwanini tra hawakuwatafuta hao wahasibu wa Mbowe huku wakijua Mbowe yuko ndani wakatuma ujumbe kwa email yake binafsi.
Hilo swali lako waulize tra sio mbowe.

Mpaka rais Suluhu na marehemu mwenyewe wamekuwa wanawalalamikia tra kubambika watu kodi,wewe unajua zaidi ya Magufuli na Samia?!

Kwanini akiongea Mbowe huelewi?!
Kwa sababu Mbowe ni jizi. Alikaa kwenye nyumba ya "National Housing/Regitrar of Housing" kwa zaidi ya miaka 50 bila kulipa kodi. Hsta wakati huo alidai ana nyaraka za kuinunua/kulipa kodi lakini mpaka leo hajazipata kuziwasilisha serkalini. Kama aliongopa mara ya kwanza nini kinakufanya umuamini sasa.
 
Mleta uzi kichwa chake ni mzigo tu kwa mwili wake
Haujaelewa mantiki ya Mbowe, ni kwamba alipelekewa barua za madai wakati yupo Jela na akahambiwa atoe responses wakati bado yupo Jela, ile anatoka kushakuwa na time lapse na muda wa kujitetea haupo tena. Kilichofuata ni kuchukua pesa zake zote na kumfungia akaunti zake. Kimsingi plan ilipangwa ikapangika. Sasa katika mazingira hayo huyo Muhasibu wa kazi gani?
 
Angeenda kuwashtaki TRA kwenye mahakama ya biashara.

Labda kama Freeman Mbowe ni individual taxpayer lakini kama anamiliki kampuni hawezi kutumiwa taarifa rasmi za kodi yeye binafsi.

Hata MO Dewji alivyotekwa biashara ziliendelea na kodi zililipwa bwashee!
Hatua za kufata kwenye case za Kodi unazifahamu au unakuja kuropoka tu hapa
 
Kwanini Samia hakumalizana na tra kama utakavyo na akaja kulalamika na kutoa maelekezo mbele ya umma?!mara ngapi Marehemu Magufuli amekuwa akiwakanya tra mbele ya uma?Je,hao nao utasema ni cheap politics?!Hujui Mbowe ni nani nchi hii?!
Hao wote watatu,Samia,Magufuli na mbowe,ni viongozi wa jamii ya watz.Wawili marais na mmoja kiongozi wa chama cha siasa cha pili kwa ukubwa Tanzania.
Wakiongea jambo hawaongei kwa ajili yao tu bali watanzania.
Ulipaswa kulijua hilo kabla ya kujaribu kukisia motives za Mbowe.
Ndio sababu baada ya kujitolea mfano yeye akaendelea kuzungumzia jinsi wafanyabiashara wengi walivyoihama nchi,kitu kilichoathiri uchumi wa taifa mpaka rais Samia mwenyewe kalizungumza hili na kuanza kuweka mikakati ya kurudisha confidence ya wafanyabiashara.
Haya yote huyaoni,huyasikii?unamuona mbowe na maslahi yake tu kwanini?nini kinakuendesha moyoni mwako juu ya mbowe?
Usitapetape na kukuruka huku na kule bila sababu , 1.Mbowe kaongelea biashara zake binafsi , Madame president hajaongelea jambo lake binafsi kaongelea matatizo kiujumla wake , usichanganye mambo ,
2.president hafananishwi na mwenyekiti wa chama , mbowe umfananishe na kina mrema , rungwe na wenyeviti wengine.
 
TRA waliipata wap private email ya Mbowe, kama siyo yeye aliitoa kama business contact. Nawashangaa hao wanaosema SSH kasema hili kaema lile. Ukweli ni kuwa yale ya SSH ni siasa na hayawezi kufanyiwa kazi nje ya sheria. Mbowe atalia, ataelekezwa TRA, au kumfurahisha atapigiwa mkuu wa TRA na kuambiwa amshughulike mheshimiwa mwenyekiti wa CHADEMA. Mkuu atamuagiza aliye chini yakle kumshughulikia. Atayeshughulika atafanya kazi tena kwa uangalifu wa juu. Ataangalia sheria na atakokotoa na usijeona ajabu akakutwa anadaiwa zaidi. Rais hawezi kuwambia wamkate kodi kidogo kuliko sheria inavyosema. Ninyi ngojeni tu! Mnashangilia lakini TRA hawanyi kazi hewani. Wanatumia sheria. Kama kuna nafuu inatafutwa, pelekeni hoja bungeni ya kutuinga sheria ya kupunguza kodi. Kama sivyo, mtakuwa mnadanganywa tu.

Kuna kitu kimoja, watu wengi hawakielewi. Tanzania ina watu wa aina mbili au tatu. Kwanza kuna watu wa pwani. Pili kuna watu wa mjini. Tatu kuna watu wa vijijini. Watu wa pwani huwa wapole, na wajanja katika lugha/Kiswahili. Watu wa pwani hawana lugha ya kulazimisha, na anapoongea usiamini kila anachokisema. Kwa kifupi wana "diplomatic language". Katika kundi hili yupo Kikwete, Mwinyi, na sasa SSH. Watu wa vijini wana lugha ya nguvu na ya kulazimisha. Hawa hutoa maagizo. Katika hili tulikuwa na Nyerere na Magufuli. Wale wa mjni ambao wako katikati tulikuwa naye Mkapa. Saa hivi kuna watu hawajamuelewa SSH. Huyu ni mtu wa pwani na lugha yake ni ya kipwani. Anaposema kitu chunga saana kuchukuliya maana juu juu. She is diplomatic, and you might easily be taken for a ride. Matamshi yake yote, hayana maana ya maagizo. Anayesema haya yote akijuwa masharti yatazingatiwa, yaani sheria itachukuwa mkondo wake. Kwa hiyo furaha bila mabadiliko ya sheria ni kujipa furaha isiyokuwepo.
Mkuu, Umemaliza kila kitu[emoji119]
 
Ninavyofahamu hata mzee Mgaya na lile duka lake la Hardware ana mhasibu na mshauri wa kodi ambaye husimama kama wakili wa maswala yake ya kiuhasibu na kodi.

Ninavyojua ukiwa na kampuni ni lazima uwe na mhasibu na external auditor kwa mujibu wa kanuni na taratibu za TRA.

Freeman Mbowe kuwa jela haimaanishi kwamba biashara zake na maswala yake ya kodi yamesimama.
Na siamini kama Freeman Mbowe huwa anakwenda yeye binafsi TRA kushughulikia maswala ya kodi kama Individual taxpayer kwa sababu biashara zake zimeshavuka level hiyo.

Sisemi kwamba Mbowe hajaonewa bali siyo sawa kulitumia jambo hili kujinufaisha kisiasa, anapaswa aongee kama mfanyabiashara mkubwa.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Bwashe nenda kalale umeshalewa ulanzi
 
Ninavyofahamu hata mzee Mgaya na lile duka lake la Hardware ana mhasibu na mshauri wa kodi ambaye husimama kama wakili wa maswala yake ya kiuhasibu na kodi.

Ninavyojua ukiwa na kampuni ni lazima uwe na mhasibu na external auditor kwa mujibu wa kanuni na taratibu za TRA.

Freeman Mbowe kuwa jela haimaanishi kwamba biashara zake na maswala yake ya kodi yamesimama.
Na siamini kama Freeman Mbowe huwa anakwenda yeye binafsi TRA kushughulikia maswala ya kodi kama Individual taxpayer kwa sababu biashara zake zimeshavuka level hiyo.

Sisemi kwamba Mbowe hajaonewa bali siyo sawa kulitumia jambo hili kujinufaisha kisiasa, anapaswa aongee kama mfanyabiashara mkubwa.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Kuwa na akili uelewe kinachozungumzwa. Mbowe siyo mpumbavu kiasi hicho cha akili yako ndogo. Unaambiwa hana deni lolote la kodi. Maana yake watendaji wake wakiwemo managers, directors, auditors, etc wamefanya wajibu wao. TRA wangekuwa hawatimizi amri toka juu wangepeleka madai yao ofisini na watendaji wa business ya Mbowe wangejibu kiofisi. Lakini TRA, very unprofessionally, wametuma malalamiko kwenye email binafsi ya Mbowe huku wakijua Mbowe yupo gerezani na haruhusiwi kuwa na computer. Umeelewa sasa we bwashee.
 
Kama kweli walikuwa hawafungi na kuchukua hela za watu benki, kwanini huyu alisema hivi.....baada ya kifo cha mfu.....
Na ukweli tunaujua, huyu alikuwa na ufahamu fulani kichwani lakini alishikwa pabaya......

 
Ninavyofahamu hata mzee Mgaya na lile duka lake la Hardware ana mhasibu na mshauri wa kodi ambaye husimama kama wakili wa maswala yake ya kiuhasibu na kodi.

Ninavyojua ukiwa na kampuni ni lazima uwe na mhasibu na external auditor kwa mujibu wa kanuni na taratibu za TRA.

Freeman Mbowe kuwa jela haimaanishi kwamba biashara zake na maswala yake ya kodi yamesimama.
Na siamini kama Freeman Mbowe huwa anakwenda yeye binafsi TRA kushughulikia maswala ya kodi kama Individual taxpayer kwa sababu biashara zake zimeshavuka level hiyo.

Sisemi kwamba Mbowe hajaonewa bali siyo sawa kulitumia jambo hili kujinufaisha kisiasa, anapaswa aongee kama mfanyabiashara mkubwa.

Nawatakia Dominica yenye baraka!
Umeambiwa alitumiwa ujumbe kwenye email yake binafsi.

Kingine mkuu huwezi kupambana na raisi akiwa madarakani. Akiamua jambo hakuna wa kumpinga kama aliamua hivo isingeshindikana katu, na hapa nchini raisi ana nguvu kubwa sanaa. Nadhani ana mkono wake katika hili la mbowe.
 
Back
Top Bottom