Tetesi: Inadaiwa Bernard Membe atakuja kufunguliwa kesi ya Uhujumu Uchumi

Haya yote ni kwa sababu hatuna upinzani ulio serious.I wish Katiba yetu ingeruhusu mgombea huru.
Katiba kwa sasa iko store,na inaweza sahaulika mpaka ikaliwa na mchwa, upinzani umekabwa koo
 
Magufuli ameshajitabilia kuwa ni mfungwa mtarajiwa. Inasemwa kwamba hata akifa maiti ya lazima ifike mahakamani ihukumiwe ndipo ikazokwe
 
Hapa siyo swala la niguse ninuke au nini.JE HUYU MEMBE ALICHUKUA HIZO PESA AU HAKUCHUKUA ??
 
Naam nakumbuka Mkuu na kisha kututisha tusikijadili tena kivuko kile kwa kuwa ni mali ya JWTZ! Alitaka kuficha uovu wake nyuma ya mgongo wa JW.

Na kile kivuko ati sikuhizi kakifanya kua kifaru cha jeshi ili tusikizungumzie, meko ni shidaaa
 
acha afunguliwe tu,awamu ilopita lwakatare mb wa bukoba mjini alifunguliwa kesi ya ugaidi
 
Bugirichato aliiba nyumba za Serikali hakuiba? Alinunua kivuko uozo kwa bilioni 8 hakununua! What is good for the goose it is ALSO good for the GANDER.

Hapa siyo swala la niguse ninuke au nini.JE HUYU MEMBE ALICHUKUA HIZO PESA AU HAKUCHUKUA ??
 
Niguse ninuke
Hii kauli inahusiana na wale wajeda waliotoroka na vifaru 9, BM -21 na dhana zingine then kujichimbia porini ?

Mkuu hebu tupe link ya hii ishu na sisi tujaribu ku dot the i and cross the t.
 
La meli,nyumba. 2015.walimchagua hizo scandales zilikuwepo. Suala la Nyumba Sumaye alisema lilikuwa wazo la Sumaye na Mkapa.

Sumaye na Mkapa wakasema pia Sundi na yule mdogo wake Magu wapewe nyumba za serikali sio?
 

Chama kilichogawa kura za upinzani 2015 kilikuwa “ACT-Wazalendo”!!!!! na ilikuwa ndo wakati muafaka wa kuchukua ushindi kwani CCM ilikuwa ICU sasa wasahau kabisaaaaa ni Magufuli mpaka 2035 mpende msipende! Final!!
 
Membe kwa sasa ndiye kipenzi cha watanzania wengi sana hasa wale wanachama wa ccm ingawa hawasemi hadharani
Hapendwi kama hivyo msemavyo, ila wakati unampa fursa na wanamjengea jina na wafuasi wenyewe
 
Wala sintashangaa hilo likitokea...
Chini ya jiwe hakuna lisilowezekana
 
Usitafute vichaka vya kujificha, MEIS ni janga na kichaka alipopigia hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…