Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Watu mpo vizur mi nmetaman huo ugar na dagaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamtakia nini mleta uzi?Mmeambiwa mpeleke polisi nyie mwaleta jf
Mambo mengine inabidi ucheke 2Wewe albadir imeanza kukuchanganya sio bure. Utaanza kutoa ute mdomoni kama mrema sasa hv
Du ama kweli alibadri hamuachi MTU salama!!Sirro anadhani watanzania wote ni wapumbavu
Horrible people! Mtu anaishi kwa kudhuru wengine. Halafu unakuwa na fam,ilia na unakwenda kanisani au msikitini eti unaenda kuomba. Moto wa jehanam unawasubiri.Vijana wa Bashite
Ndo maana Yusufu Mangu, alipogoma kutekeleza maagizo "halifu" kama haya akatafutwa IGP mwingine...Hatujawahi kuwa na kamanda wa polisi zwazwa kama tuliye naye sasa
Ndo maana wa-TZ wengi hawaiamini tena polisi yetu...Asanteni raia kudadeki intelligence ya raia ni kali kuliko polisi...imewachukua polisi miezi minne lakini raia ndani ya masaaa wameshanasa kila kitu
Angalia hii picha ukiwa wewe na RC Makonda, Herry ni huyo hapo nyuma yenu.
huyu ndiye anadaiwa alimtolea Nape Nnauye bastola kule Oysterbay. Anaitwa Herry Kisanduku aka Kassimu Sniper.
![]()
![]()
![]()
Nape alivyoonja joto ya jiwe leo kwa kutolewa bastola na kusukumizwa kwenye gari
Polisi: Yeyote mwenye taarifa za uhakika za aliyemlenga Nape kwa bastola atujulishe
Inabidi IGP afungue kitengo cha upeleleze ki kiraia maana hao ndo watata watu na vipaji vyaoNdo maana wa-TZ wengi hawaiamini tena polisi yetu...
Huwa nashangaa watu wanataka kutoa roho za wenzao Huku wao wakitaka kuishiHorrible people! Mtu anaishi kwa kudhuru wengine. Halafu unakuwa na fam,ilia na unakwenda kanisani au msikitini eti unaenda kuomba. Moto wa jehanam unawasubiri.
Jamaa kaja kutuambia ukweli tu, baadae anasepa!Namwamini mleta mada, na amekuja kwa sababu tu.
kwanza ni mwanachama Mpya kabisa kajiunga leo, hana pa kusemea amekuja kutupa ukweli, Sirro ,makonda na wenzenu, Siri ni ya Mtu mmoja, Mkiwa wengi hakuna siri, mtaumbuka siku sio nyingi