Bapalidako
Member
- Aug 6, 2024
- 79
- 166
Siyo kila kitu muwe mnajibu sababu ya kumfurahisha furani,vingine vitakuja kuvigharimu vizazi vyenu,unaweza wewe ukawa chawa lakini siku mwanao atakapotaka kuutafuta ukweli uliokuwa unaupindisha mzazi wake,itamgharimu mara dufuTangu lini Tamasha la utamaduni la kutangaza Utalii wa Tanzania ukawa ujinga?
Una uhakika wewe sio ndio kwanza inaonesha ujinga wako?
Si jambo baya ila limeratibiwa vibaya sana na nashanga washauri wa rais kwanini hawajaliona hili jambo..Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Acha porojo weweSiyo kila kitu muwe mnajibu sababu ya kumfurahisha furani,vingine vitakuja kuvigharimu vizazi vyenu,unaweza wewe ukawa chawa lakini siku mwanao atakapotaka kuutafuta ukweli uliokuwa unaupindisha mzazi wake,itamgharimu mara dufu
Soma mwanahalisi kuhusu deni la sasa la Taifa,utajua Job alikuwa mtaalamu wa kubetHivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Kujikomba tu kwa Bi. Kizimkazi ili wampambe na wapige pesa. Hiyo pesa bro haijatoka serikalini. Ni machawa na wafanyabiashara tu wametoa. Je watarudishaje? Tutapigwa sana na kupandishiwa bei kwenye kila kitu.Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Soma mwanahalisi kuhusu deni la sasa la Taifa,utajua Job alikuwa mtaalamu wa kubetHivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
kumbuka dunia inatembea haijasimama.wenye akili wanafanya kwa ajili ya kesho,mjinga hutaka kila kitu akifanye kwa ajili ya leo tu,maana anajua kesho hatokuwepoAcha porojo wewe
Mshahara wake ikawa kufukuzwaSoma mwanahalisi kuhusu deni la sasa la Taifa,utajua Job alikuwa mtaalamu wa kubet
Mama alitudanganya atawataja majina ila hadi leo kimya akidhani tumesahau!Unafahamu wadhamini wa Royal Tour??!!!
Mama anahangaika tu,Hivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Akina lukuvi hawataki. Wanasema zenji 90% ni waislamu kwahiyo muungano ukivunjika zenji watatawaliwa na alshabaab!!Ukweli mtupu
Naunga mkono hoja yakoMwacheni mama jamani yule mwamba alijenga international airport kwao hospitali ya kanda , akatengengeneza na mbuga ya wanyama feki akiwaiga waarabu wa Dubai wakati ule mbona hamkusema ? Mliufyata sasa leo mama kufanyiwa tamasha tu imekuwa nongwa ? acheni hizooo
Na tutaenda hivihivi hadi 2030. Na pia 2030 wazanzibari kama itakavyokuwa kwa watanzania wengine watakuwa na haki ya kugombea uraisi wa JMT.Watanganyika wote hivi sasa ni koloni la nia na ndiyo maana zinatumika rasilimali za Tanganyika kwenda kufanyia sherehe za kifamilia zilizopachikwa jina la a tamasha.
Nimeuliza leo mtu swali hili ..mbona kabla Jpm hajafariki hata jina Kizimkazi tulikua hatulijui..hii nchi ***** sanaHivi kwenye Nchi yenye kila aina ya dhiki kama hii, kukusanya Wasela na Maofisa kutoka Tanganyika na kuwajaza Kizimkazi, ili Washiriki Uzushi unaoitwa Tamasha la Kizimkazi, huku wakilipiwa kila kitu, Ni Ujasiri wa kutisha!
Hivi hizi hela za kuchezea kwenye mambo yasiyo na Tija kama haya tunazitoa wapi?
Unajua pamoja na katiba Kuna watu Wana bahati zao. Kwa mfano kwa Sasa pakitokea la kutokea kama lililotokea 2021 Philip mpango anakuwa bosi mkuu wa ikulu hadi uchaguzi mkuu ujao.Kwanza hilo linaloitwa tamasha halina mpango wala halina maana yoyote ni basi tu kwa vile hela zinazochezewa ni za Tanganyika.
Kuna haja ya kufanyiwa marekebisho katiba yetu ili ikitokea Rais aliyepo madarakani akashindwa kutimiza majukumu yake kama ilivyotokea kwa Magufuli basi makamu wake ashike nafasi yake kwa muda wa siku 90 kisha ufanyike uchaguzi na yeye akitaka anaweza kugombea ili kuepukana na maroroso kama haya.
ππππ Sasa hivi wanadai ni kivutio cha Watalii!Nimeuliza leo mtu swali hili ..mbona kabla Jpm hajafariki hata jina Kizimkazi tulikua hatulijui..hii nchi ***** sana
Kwani kabla ya 2015 nani alikuwa akiijua chato.?!Nimeuliza leo mtu swali hili ..mbona kabla Jpm hajafariki hata jina Kizimkazi tulikua hatulijui..hii nchi ***** sana